johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,942
Namshukuru Mungu kwa ushuhuda wa uponyaji kwa mtoto wa Rais Magufuli kadhalika mtoto wa Kiongozi wa Upinzani Bungeni mh Mbowe.
Kwa mujibu wa Rais Magufuli mtoto wake alitibiwa nyumbani kwa tiba zetu za asili ikiwemo kula malimao, tangawizi na kujifukiza na Mungu wa mbinguni amemponya.
Naye mtoto wa KUB Mbowe ilielezwa kuwa alilazwa hospitali ya manispaa ya Temeke kwa zaidi ya siku 50 na Mungu wa mbinguni amemponya.
Mungu ni mwema wakati wote.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwa mujibu wa Rais Magufuli mtoto wake alitibiwa nyumbani kwa tiba zetu za asili ikiwemo kula malimao, tangawizi na kujifukiza na Mungu wa mbinguni amemponya.
Naye mtoto wa KUB Mbowe ilielezwa kuwa alilazwa hospitali ya manispaa ya Temeke kwa zaidi ya siku 50 na Mungu wa mbinguni amemponya.
Mungu ni mwema wakati wote.
Nawatakia Dominica yenye baraka!