mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Sasa unalinganisha familia ya DJ na ya mkuu Wa nchi? Ni tofauti kama Giza na nuru!!Alipo umwa mtoto wa Mbowe, tulitangaziwa stand ya Ubungo. Mbona mtoto wa mkuu haikutangazwa?
Sent using Jamii Forums mobile app