Poleni kwa upweke Maaskari wa kike

Poleni kwa upweke Maaskari wa kike

Usini- underestimate kaka

hehehe baelezee. hawajui wenzao tunafanya fantasy dressing kabisa na maisha yana ladha ya ziada? Mwanaume anejiamini bwana, hasumbuliwi na lolote. Kuna yule mama sijui ndio mkuu wa trafic tanzania? Aisee ana ndevu nyingi na hanyoi wala nini! Kuna siku nilimuambia mshikaji huyu mama angenunua mashine anyoe daily. Alinijibu ningekuwa na access nae ningemtongoza hadi anipe! Nilishangaa kweli, yeye mvuto wake ni mwanamke mwenye ndevu na nywele kifuani hahaha. Nikawa mpole ( nilijigundua hata mechi ya kirafiki sipewi :wacko::wacko🙂

Haaaahaaa...sijakuanda estimate...natafuta nafasi ya kukaa karibu na askari ili mambo yangu yawe mazuri.
 
Naomba kusahihishwa kipindi cha CDF General Waitara niliwahi kumsikia akisema wanajeshi wa kike JWTZ hawatakiwi kuolewa na raia.

Waolewe na nani? Huo si ndio unyanyasaji wa jinsia? Nilisikia kama wanakatazwa kuolewa kwa miaka mitano au so...ila mapenzi sio sehemu ya kijeshi. Ni biologia na emotions zetu.
 
Hehehe, nimezungukwa kuliko Yesu enzi akihubiri yerusalemu. Labda ushike upindo wa kimini changu roho yako ipone
Haaaahaaa...sijakuanda estimate...natafuta nafasi ya kukaa karibu na askari ili mambo yangu yawe mazuri.
 
Ila ni kweli kazi hii ya uaskari inakufanya uwe tofauti katika jamii. Hata hawa askari wa kiume mara nyingi huishi bila kuoa ama social life yao huwa complicated kweli. Wengi wanaangukia katika maisha ya uzinzi tu. Ni wachache utawakuta wameoa na kutulia.
 
Demu gani anapasua matofaku kwa kichwa, demu mjeda hapana kwa kweli, hata ule uromantic haupo...
 
nakushukuru sn mleta mada,naona km we ni njia kufanikisha iliyo haja yngu,natamani sn niwe na demu askari km yupo aliye tayari ani-pm,na hatajuta maana tayari nimeshampenda
 
Me nimeshatafuna wawili moja polisi trafic mwingine mwanajeshi ila wote sahivi wameolewa na maaskari wenzao.. Siwezi oa askari

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hata miongoni mwa askari wapo wahasibu wahandisi niseme karibia kila professionals zipo jeshini kwa iyo kwa suala la ladha tofauti kutoka kwa hao watu zipo labda urekebshe kidogo hapo kwa kusema hawapati radha za raia ambao sio askari.nawasilisha
 
nakushukuru sn mleta mada,naona km we ni njia kufanikisha iliyo haja yngu,natamani sn niwe na demu askari km yupo aliye tayari ani-pm,na hatajuta maana tayari nimeshampenda

naona unaitaka lockup iwe rafiki yako
 
Wengine tunaishi nao hao askari,tunajua makucha yao,huko doria wakienda mungu ndo anajua.Ndugu yangu akimpenda askari ntamshauri sana,askari wanatabu sana,hasa polisi.
 
Ila ni kweli kazi hii ya uaskari inakufanya uwe tofauti katika jamii. Hata hawa askari wa kiume mara nyingi huishi bila kuoa ama social life yao huwa complicated kweli. Wengi wanaangukia katika maisha ya uzinzi tu. Ni wachache utawakuta wameoa na kutulia.

Kweli kabisa,umenena.
 
wat wengine bwana! kama hauna la kusema si unakaa kimya tu mnasubiri thread za watu kazi yenu ku edit title tu hivi jana si kuna mmoja kaja na mada kama hii hapa?
 
Field zote zinazohusisha night shift ni Sheedah na ugonjwa wa moyo i.e nurses
 
Back
Top Bottom