naona unaitaka lockup iwe rafiki yako
hamna lockap wala nini mzee hayo ni mambo ya watu tu mimi mke wangu ni askari tangu nimuoe ni miaka
10 sasa imepita alikua gd leo ni trafic .hana shida yoyote maswala ya kazi yanaishia hoko hoko akija nyumbani ni mama mwema wa familia tena amenisapot kweli na mimi nimekua mtu mbele za watu kwanzia
heshima mtaani si mme wa askari heshima kibao...hum watu wanapotosha tu wewe kama mwaname kamili iweje umwogope mwanamke kisa eti ni askari