chui anazaa seuse askari? Mie nikiwaonaga tu pembe linacheza.
Mwambie huyo! Kabla ya kuandika angeniuliza mimi, lol!Ungejua soko letu lilivyo juu! Usingesema
Chakula cha hiari hiko xcha maboss,uki deal nao hao mkugongana sahani moja na CO basi ujue utahamishiwa Ngaraa...kama adhabu vile
Hao uhamiaji waondoe kwenye list.
mi ninae demu askari tena ni jwtz alikuwepo ile siku ya kuvunja tofari za udongo kwa kichwa pale taifa.
chui anazaa seuse askari? Mie nikiwaonaga tu pembe linacheza.
Kongosho una pembe toka lini tena?
Kongosho una pembe toka lini tena?