Poleni kwa upweke Maaskari wa kike

Poleni kwa upweke Maaskari wa kike

Naomba kusahihishwa kipindi cha CDF General Waitara niliwahi kumsikia akisema wanajeshi wa kike JWTZ hawatakiwi kuolewa na raia.
 
Mtuache miaka 800

Tanzania-Female-police-network-members-sing-at-the-event.jpg

hahaha mbona wewe hujavaa sketi Belinda :A S wink:
 
hahahah duh nimeipenda hii ya kuwatokea Ma Afande, kuna baadhi nina contact zao lakini sijawahi kufikiria kuwatokea

Leo anza na mmoja ufanye uchunguzi,afu urudishe matokeo mkuu
 
mkuu umesema rose??? Yukoje? Kama namfaham?
Dada wa makamo hivi, amjazia vizuri tu, ana weupe fulani ila pia nadhani hata mchina kahusika kidogo pale. ndio huyo?? Alinikama siku moja maeneo yale nikaishia kupeana namba za simu......
 
Dada wa makamo hivi, amjazia vizuri tu, ana weupe fulani ila pia nadhani hata mchina kahusika kidogo pale. ndio huyo?? Alinikama siku moja maeneo yale nikaishia kupeana namba za simu......
Anafananafanana na huyu? Mbna mnawaogopa hadi mdada kaamuwa kuwatega ili muone neema za Allah!
 

Attachments

  • 1409748056452.jpg
    1409748056452.jpg
    58.1 KB · Views: 405
Ungejua soko letu lilivyo juu! Usingesema
Baelezee hasa huyu MUCHUNGUZI HURU anaamini eti Wahasibu na Wahandisi wanweza wakutwa Wanajjeshi kwa ligwaride la Kitandani km hawakuishia kimoja na vishombo vya bia
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa mmoja alipata kugegeda askari Polisi-trafiki pale Morogoro..afu akamshiti. We palikuwa hapatoshi. Yule dada mjeshi alikuwa mtemi ile mbaya. Kila akijisikia alikuwa akimfata jamaa ofiini na kumpa kichapo cha nguvu. Hadi jamaa akaomba uhamisho.
Askari wanawafaa askari wenzao.
 
Dada wa makamo hivi, amjazia vizuri tu, ana weupe fulani ila pia nadhani hata mchina kahusika kidogo pale. ndio huyo?? Alinikama siku moja maeneo yale nikaishia kupeana namba za simu......

basi atakuwa siye. Huyu ninaye msema mm ni kabint kadogo hvi kamejazia balaa keupe na ana jicho hilo matata sana.
Bint huyo ni nouma
 
Kuna mmoja yuko f.f.u.mtaa jirani halafu single,nshaingiza c.d imesoma.nikimkamataaaaaaaaa! Atanijua mimi nani,ila nahisi kuna libosi lamega pale maana ana r.e. Romantic eyes,alafu mweupeeeeee utadhani kakaa japan miaka mitano.
Sijui kama vibosile wa pale ukonga makao ya f.f.u.wamemwacha.
Nimeshamjua huyo
 
Me askari wangu hana shida,kakolea na ananielewa sn kiasi kwamba kaniambia kuwa nikipata kazi tu yeye anaacha uaskari.Ananipend kutoka moyoni mtoto wa watu na anajiheshimu.
 
Huwa kazi za amri ni mbaya sana. Ila ni wazuri tu japo kazi zenyewe zina matatizo hasa ukiwa junior staff.
 
Usini- underestimate kaka
Kumbe na wewe ni askari? Au askari wa mitandaoni?

hehehe baelezee. hawajui wenzao tunafanya fantasy dressing kabisa na maisha yana ladha ya ziada? Mwanaume anejiamini bwana, hasumbuliwi na lolote. Kuna yule mama sijui ndio mkuu wa trafic tanzania? Aisee ana ndevu nyingi na hanyoi wala nini! Kuna siku nilimuambia mshikaji huyu mama angenunua mashine anyoe daily. Alinijibu ningekuwa na access nae ningemtongoza hadi anipe! Nilishangaa kweli, yeye mvuto wake ni mwanamke mwenye ndevu na nywele kifuani hahaha. Nikawa mpole ( nilijigundua hata mechi ya kirafiki sipewi :wacko::wacko🙂
King'asti tena mimi ukinivalia combat ndio unanimaliza kabisa.

Askari wa kike wa Kagame hawaoni ndani.
 
nyuki na ukali wote ule lakini asali yake watu waila, sembuse hao askari wa kike...
 
Back
Top Bottom