Hivi Maaskari wa Kike ambao huwa siwaoni wakibeba Mikoba Taulo zao za Kike ( Pedi ) huwa wanazibeba au wanazificha wapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,409
108,516
Nimekuwa nikijiuliza mno hili Swali hasa ikizingatiwa kuwa Mwanamke Kubeba Mkoba ni sawa na Israeli na Roho ya Binadamu na kama tunavyojua moja ya Bidhaa muhimu ambayo ni lazima iwe isiwe utaikuta tu humo Mkobani mwao ni Taulo zao za Kike ( Sodo / Pedi ) kwa ajili ya Kujisitiri hasa katika zile tarehe zao za Hedhi za kila mwezi.

Naomba kujua hivi hawa Maaskari wa Kike ambao huwa hawabebi Mikoba mara kwa mara na muda mwingi huwa wanakuwa Wao kama Wao tu ndani ya Uniforms zao Taulo zao hizo huwa wanazificha au wanazihifadhi wapi? Na kuna wengine huwa tuna Macho makali kabisa ya Ndege Tai ambapo huwa tunawachunguza katika Mifuko yao ya ama Mashati yao au Sketi kama siyo Suruali zao lakini huwa hatuoni dalili zozote za kuwepo kwa hizo Sodo / Pedi.

Najua hapa JamiiForuma Maaskari wa Kike mpo wengi tu hivyo si vibaya nanyi leo mkanijibu hili Swali langu sumbufu kabisa.
 
kwa kifupi mwanamke akisha jiunga na kazi zinazo husu uaskari kwa ujumla kila kitu kina kuwa wazi kwa viongozi...na kwa kulitambua hilo ata kwenye mishahala yao huwa wanaongezewa na bajeti ya kununua mataulo ya kike...kwa mantiki hiyo basi jeshi linatambua siku za wanawake na huwa hawapangiwi majukumu yoyote wakiwa kwenye siku zao...
n.b
askari haruhusiwi kabisa kuhudhuria nyumba za ibada akiwa na sare za kazi...usiniulize kwanini
 
kwa kifupi mwanamke akisha jiunga na kazi zinazo husu uaskari kwa ujumla kila kitu kina kuwa wazi kwa viongozi...na kwa kulitambua hilo ata kwenye mishahala yao huwa wanaongezewa na bajeti ya kununua mataulo ya kike...kwa mantiki hiyo basi jeshi linatambua siku za wanawake na huwa hawapangiwi majukumu yoyote wakiwa kwenye siku zao...
n.b
askari haruhusiwi kabisa kuhudhuria nyumba za ibada akiwa na sare za kazi...usiniulize kwanini
Mbona Askari Waislamu wanafanya ibada na sare zao msikitini pindi muda ibada ukifika, halafu wakimaliza wanaenda kuendelea na kazi zao.
 
Hahaaa labda wanaweka kipande cha taulo
Nimekuwa nikijiuliza mno hili Swali hasa ikizingatiwa kuwa Mwanamke Kubeba Mkoba ni sawa na Israeli na Roho ya Binadamu na kama tunavyojua moja ya Bidhaa muhimu ambayo ni lazima iwe isiwe utaikuta tu humo Mkobani mwao ni Taulo zao za Kike ( Sodo / Pedi ) kwa ajili ya Kujisitiri hasa katika zile tarehe zao za Hedhi za kila mwezi.

Naomba kujua hivi hawa Maaskari wa Kike ambao huwa hawabebi Mikoba mara kwa mara na muda mwingi huwa wanakuwa Wao kama Wao tu ndani ya Uniforms zao Taulo zao hizo huwa wanazificha au wanazihifadhi wapi? Na kuna wengine huwa tuna Macho makali kabisa ya Ndege Tai ambapo huwa tunawachunguza katika Mifuko yao ya ama Mashati yao au Sketi kama siyo Suruali zao lakini huwa hatuoni dalili zozote za kuwepo kwa hizo Sodo / Pedi.

Najua hapa JamiiForuma Maaskari wa Kike mpo wengi tu hivyo si vibaya nanyi leo mkanijibu hili Swali langu sumbufu kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom