Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Kwa madhumuni ya thread hii, neno askari lina maana ya polisi, wanajeshi, zima moto, uhamiaji, askari magereza pamoja na migambo.
______________
Kiukweli maaskari wa kike wanakuwa wapweke sana. Ni wachache sana wanaopata wapenzi ambao si maaskari wenzao.
Uchunguzi wangu umeabaini ya kuwa wanaume wengi huwachukulia maaskari wa kike kuwa huwa wanagegedwa na maaskari wenzao hasa wakati wa lindo la usiku. Hivyo wanaume wengi hawapendi kuwaoa wakiamini watakuwa wanagegedewa wake zao.
Mbali na hilo, pia maaskari wanawake wakiwa wamevaa uniform baadhi ya wanaume huogopa kuwasimamisha na kuanza kuwachombeza kwani ni dhahiri kwamba watu wengi huamini uniform za maaskari zinatisha.
Hivyo mwisho wa siku askari wengi wa kike hujikuta wakiishia kutembea na askari wenzao bila kupata radha tofauti kama vile za wahasibu, waandishi, waalimu n.k
Swali: Je, ni wanaume wangapi hapa JF wana wapenzi maaskari? Je, umewahi kumsimamisha askari wa kike ukamuomba hata namba ya simu?
MAASKARI WA KIKE POLENI SANA KWA UPWEKE.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
______________
Kiukweli maaskari wa kike wanakuwa wapweke sana. Ni wachache sana wanaopata wapenzi ambao si maaskari wenzao.
Uchunguzi wangu umeabaini ya kuwa wanaume wengi huwachukulia maaskari wa kike kuwa huwa wanagegedwa na maaskari wenzao hasa wakati wa lindo la usiku. Hivyo wanaume wengi hawapendi kuwaoa wakiamini watakuwa wanagegedewa wake zao.
Mbali na hilo, pia maaskari wanawake wakiwa wamevaa uniform baadhi ya wanaume huogopa kuwasimamisha na kuanza kuwachombeza kwani ni dhahiri kwamba watu wengi huamini uniform za maaskari zinatisha.
Hivyo mwisho wa siku askari wengi wa kike hujikuta wakiishia kutembea na askari wenzao bila kupata radha tofauti kama vile za wahasibu, waandishi, waalimu n.k
Swali: Je, ni wanaume wangapi hapa JF wana wapenzi maaskari? Je, umewahi kumsimamisha askari wa kike ukamuomba hata namba ya simu?
MAASKARI WA KIKE POLENI SANA KWA UPWEKE.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Last edited by a moderator: