Pole Mhe. Lowassa Kufiwa na mkweo

Pole Mhe. Lowassa Kufiwa na mkweo

baba wa baba mkwe wake na el du? Sasa kimsiba hicho mpaka ujaze thread hapa haf utaki majina yajulikane sasa umeleta umbea wa nn hapa we pascal mayala nlikua nakuheshimu sana kipindi kile wakti wa kitmoto lkn mpaka umeangukia kwenye ukibaraka wa mafisadi? Pole kaka
 
Pasco this is too much,hapa unataka kutuambia nini?unachoki-target wala hutokipata,mambo ya kujipendekeza pendekeza naona yanavuka mpaka sasa,aliefariki ni Sumari wewe unaibuka na EL sijui mna kikundi,kwa hiyo unataka kutuambia mwenye uchungu zaidi ni Lowasa na wala sio wanae marehemu Sumari?kwanini usingeelekeza pole hizi kwa familia ya Sumari?
Tukikwambia humu wewe ni mfuasi wa CCM-magamba unabisha,sasa yako wapi?
Very sorry ni mtizamo wangu
 
Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

RIP/POLEN WAKINA LOWASSA
 
Chora family tree halafu jaribisha kumdumbukiza humo uone ataingia wapi!

Poleni kwa msiba!
Family tree hivi huwa inahusisha baba mkwe?
ngoja kwanza nikaangalie ile ya mzee Ndetirima
 
Sasa sikumbuki family tree ya kidhungu. Afu m'baba mwenyewe mkubwa hivyo atadumbukiaje kwenye karatasi tu, kha! Mnanchosha!
Chora family tree halafu jaribisha kumdumbukiza humo uone ataingia wapi!

Poleni kwa msiba!
 
Uwasiliane na mgololo spm wakupe lile likaratasi likuubwa kama meza ya pool manake umalize ukoo, uende kwa wazazi wa mkaza mwanao (ni kiswahili)
Family tree hivi huwa inahusisha baba mkwe?
ngoja kwanza nikaangalie ile ya mzee Ndetirima
 
mimi am not PROEL lakini am friends with the family so..my condolences kwao.
 
Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Kwa vile humu jf tuna kikundi chetu kiitwacho PROEL, nawaombeni tumpe pole zetu Mhe. Lowassa!.

Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

Pole Mzee wetu Lowassa.

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!

Pasco bana nadhani hiki kifo kitakuwa kimekugusa sana. Mpe pole sana Lowassa.
 
watu kwa kujipendekeza hamjambo
mbona hamkuanzisha special thread ya ndugu zake na marehemu REGIA??????



RIP JERRY and not otherwise!!!😛oa
 
Pole Pamella kwa kufiwa na BabaMkwe!,Pole Nakaya kwa kupoteza Baba, Pole EL kwa kufiwa na Mzazi mwenzio, Poleni wana Arumeru na PROEL

Watu wengine bwana..mmeombwa msitaje majina and they you go spilling the beans!huo u-'born town' gani??rudi kijijini kwenu tu!ebo!
 
Unajua nikikuangalia luningani na hapa nabaki kucheka tu; yaani l don't take u serious kabisa!
Ndugu yangu Kaunga, nadhani utakuwa umenichanganya na mwenyewe mwenye jina hili, mimi ni Pasco wa jf, na huyo unamuona luningani ni Pascal Mayalla mwenyewe halisi!. Naomba usichanganye mambo ya Pascal halisi na mimi wa jf, ni vitu viwili tofauti, mimi usinichukulie serious hata kidogo, ila pia kama na huyo wa kwenye luninga hutamchukulia serious, hii sasa ni shauri yako. Ila pia hata huko luningani si kuna vipindi serious kama habari, na pia ze comedy ipo, sasa kama na yeye ni ze comedy pia ni kipindi!.

Mnaoendelea kutoa pole tuendelee kupeana pole!.
 
Wanabodi,
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Mb), amefiwa na mzazi mwenzake ambaye ni baba wa mtoto wa kiume aliyemuoa binti wa Mhe. Lowassa.

Kwa vile humu jf tuna kikundi chetu kiitwacho PROEL, nawaombeni tumpe pole zetu Mhe. Lowassa!.

Nawaombeni msiulize majina na wale mnaowajua naombeni msiwataje kwa hii sio thread ya RIP bali pole tuu kwa Mhe. Lowassa kupatwa msiba!.

Pole Mzee wetu Lowassa.

Na kwa vile yeye sio member humu, pole zenu mwageni hapa nami nitamfikishia kwa vile nitahudhuria msiba huu mkubwa kwa familia ya Lowassa!

Pasco, ni huyu Sumari au ni mwingine? kama ndiye kwa nini unaleta habari tata za ukanjanja?
 
Family tree hivi huwa inahusisha baba mkwe?
ngoja kwanza nikaangalie ile ya mzee Ndetirima

Ndo hapo sasa uone vile tunavolazimishia kwa kupandika na gundi!
 
Back
Top Bottom