Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,172
- 128,883
- Thread starter
- #41
Pasco this is too much,hapa unataka kutuambia nini?unachoki-target wala hutokipata,mambo ya kujipendekeza pendekeza naona yanavuka mpaka sasa,aliefariki ni Sumari wewe unaibuka na EL sijui mna kikundi,kwa hiyo unataka kutuambia mwenye uchungu zaidi ni Lowasa na wala sio wanae marehemu Sumari?kwanini usingeelekeza pole hizi kwa familia ya Sumari?
Tukikwambia humu wewe ni mfuasi wa CCM-magamba unabisha,sasa yako wapi?
Very sorry ni mtizamo wangu
Wee jigoku, tena kila siku ukijiita Msukuma mwenzangu, Msukuma gani wewe mwenye tabia za kike kike?. Mbona wasukuma sio watu wa kujipendekeza pendekeza na kimbelembele kama wale jirani zetu kule juu?. Mijitu mingine kudandia tuu makabila ya watu kwa vile umezaliwa Usukumani?.
Pale nimesema tusitaje taje majina wala hii sio thread ya RIP, ni thread ya kukusanya tuu pole na mimi nimpelekee mzee kuwa hata jf tunamjali. Sasa kimbembele chako cha kutaja majina ndio kujulisha wewe unawajua sana au umetaja majina ili nini?
Tena nakuomba sana ukijibu post yangu yoyote, usithubutu tena kunitaja "Msukuma mwenzangu", sitaki kuniaibisha!