Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,783
- 61,446
biashara ya kuwapa matumaini hewa watu waliokata tamaa, inalipa sana.
Hakuna Cha Maajaliwa huko ni kujifariji kisengeSio kwa ufundi wako ni majaaliwa tu...
Kama kusoma wote tumesoma na kuhusu kufanya kazi kwa bidii basi hapa hakuna mzembe lakin tunakula chai ya 500 na chapati za 1000...
Ila alhamdulillah wife anapendeza,watoto wanasoma,ki crown changu kimeua starter sina hela ya service na vimpunga vipo store,tunaishi...
majivunonajua sio rahisi kuamka account haina hata milion 3
limbukenikiukweli Sisi wengine tunaamka tunashika hela, tunakula kuku daily mpaka tushachoka, tunakunywa wine daily
bezaLakini pole sana. Hata sisi wenye hela tunawaelewa tushapitia hayo maisha
dharauila jamani msiokuwa na zali na hela mpunguze majukumu
Kuna mtu humu ndani, kupitia uzi fulani alisema hivi kuhusu mtu anapopata kiasi fulani cha hela.nikisema hela zimenikubali huu mwaka ni kweli zimenikubali ila pia shukrani kwa 1xbet umeninulia pair 6 za viatu jumla million moja umeninulia iphone 17 mpyaa aisee niseme nini
cc venchwaNiliajiriwa lindi ila nishaondokaga huko sa hv nacheza Thailand Japan na Myanmar kwa sana
Nakubali ila hakuna anependa kuwa masikini ndio maana kuna watu wanapambana asubuhi mpka kucha na wewe unaweza kuwa shahidi lakini pesa anayopata ikiingia kwenye mzunguko hatoboiHakuna Cha Maajaliwa huko ni kujifariji kisenge
Maisha ndio haya haya mkuu wala mtu asikupe preshaSio kwa ufundi wako ni majaaliwa tu...
Kama kusoma wote tumesoma na kuhusu kufanya kazi kwa bidii basi hapa hakuna mzembe lakin tunakula chai ya 500 na chapati za 1000...
Ila alhamdulillah wife anapendeza,watoto wanasoma,ki crown changu kimeua starter sina hela ya service na vimpunga vipo store,tunaishi...
Kwa hiyo wewe umekubali kupewa pole kwa kukosa hela?Watu wote wakifanikiwa inabidi wawe kama huyu jamaa.
Siyo wale wengine ambao wanawaona wenzao hawana akili kisa wao wametoboa.
Ata angekaa kimya ingeweza kubadilisha chochote.Kwa hiyo wewe umekubali kupewa pole kwa kukosa hela?