Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

Pole kwa watanzania ambao hela imewakataa

Nakumbuka kipindi kile unalalamika hauna ajira maisha magumu, ukawa unasema umeamua kua mlevi wa pombe yoyote.

Ukaja kutangaza umepata kazi kama nina kumbukumbu nzuri ilikua kama unashukuru Mungu.

Ukaja kulalamika juu ya mazingira .

Ukapotea.

Kisha ukarudi kulalamika juu ya seniors wanaotaka kila safari kwenda wao.

Leo umekuja na huu uzi.

Haya ni maendeleo.
ni sahihi 2021 nilipata kazi ila 2025 MUNGU akanijalia kwenda nje ASIA halafu nikapewa kibali wakataka nifanye nao kazi sana ila nachomuomba Mungu cha mwisho nisaidie nipate kazi mashirika ya kimataifa hiko ndo cha mwisho kabisa na hakika kinakwenda kutimia kama ifuatavyo
 
Mwingine akiwa na salio la 1M anaweza kukutukana kwa kupita karibu yake. Na kuna yule ana 500M na bado haoni kama amefika popote.
Yeah, tunatofautiana mkuu, hata bar kuna mtu anaweza kuwa na laki tu, lakini hizo kelele zake na matusi usiombe.

Na kuna yule jamaa akipata hela haonekani nyumbani hata wiki, yupo huko akifanya ufuska. Siku akikosa hela unamuona, anakuwa mpole kama anaumwa. Pesa kila mtu inambadirisha kwa namna yake.

huyo wa 500M kuna namna nae anabadirika, especially kama ndo mara yake ya kwanza kuishika hiyo hela, wengine hupenda kujifungia ndani.
 
Huyo wa 200 M nae kuna watu wana Billions wanamuona si chochote.

Inategemea na malengo ya mtu, mwingine akiwa na uhakika wa milo mitatu, haumwambii kitu.

Mwingine akiwa na salio la 1M anaweza kukutukana kwa kupita karibu yake. Na kuna yule ana 500M na bado haoni kama amefika popote.

Ilimradi haibii mtu , sioni shida akila maisha kwa hiyo hiyo 5M badala ya kusubiria hadi apate 200M. Ikifika huko tutaona atakachokifanya, kwa sasa, tutulie hapo kwenye golf kwanza.
Hata kama, sasa ndio atuambie anaogelea kwenye utajiri 🤣🤣🤣
 
Hata kama, sasa ndio atuambie anaogelea kwenye utajiri 🤣🤣🤣


Wewe endelea kusubiria hadi upate 100M ndio uanze kuwaza na kuishi kitajiri. ndege JOHN hana huo muda, anaenda na mambo kadri yanavyokuja huku akiendelea kutarajia makubwa zaidi.

Golf mchezo wa matajiri, sasa unawezapata picha Jamaa anawaza vitu gani kichwani. Watu anaowatamani maisha yao, vitu anavyotaka kumiliki, sehem anazotaka kutembelea, maisha anayoyatamani.

Vitu vizuri haviwezi kuja kama wewe mwenyewe ndani yako hauko tayari kuvipokea.
 
Million 5 nayo hela ?? Unajisifia rab pair 6 na iphone 17. Daaah Wahed Kweli 🤣🤣🤣

Kweli Tunatofautiana, Bado Sana Kijana Tena Mbali Sanaaa

Ni kiasi gani cha pesa au ni vitu gani ukivipata ndio inabadilika kutoka bado na kuwa tayari?

Mwenzetu hapo alipo anaogelea kwenye utajiri na anafurahia maisha.

Kuna mtu ana 1B hana amani na furaha aliyonayo mnyampaa.
 
leo nimeamua kuwapa pole ndugu zangu wote ambao mpaka leo hela imewakataa Pole sana ndugu zangu… najua sio rahisi kuamka account haina hata milion 3
kiukweli Sisi wengine tunaamka tunashika hela, tunakula kuku daily mpaka tushachoka, tunakunywa wine daily, tunachezea hela kamari… halafu tunalala kwa amani. yaani nina mwaka sijanywa vinyau sijui konyago sijui pombe fake fake hahah

Wewe unapata hela leo, unaanza kuhesabu Kodi… chakula… umeme… ada… deni…
Kabla hujamaliza kuhesabu, hela yenyewe imeshafariki.dah me vyote hivyo nishavisahau

Lakini pole sana. Hata sisi wenye hela tunawaelewa tushapitia hayo maisha

Na msijali, sio kila mtu ameumbwa kuwa na hela nyingi. Wengine Mungu aliwapa kipaji cha kuomba bro nipe hata 10k, kesho narudisha. mtu akiniambia hana hela namwambia Pole sana mkuu, ni suala la muda tu.Lakini ndani ya moyo najua hiyo “muda” imeanza 2017.

ila jamani msiokuwa na zali na hela mpunguze majukumu watoto wawili tu wanatosha.una nuksi na hela unazaa watoto wa5 wanini

Mama Samia, Nchimbi na wengine waendelee na majukumu yao huko. Sisi huku tunahangaika na hela zetu za kula, kunywa na kuchezea. nina zaidi ya miezi mitatu account haijashuka chini ya million 5 hadi nacheza golf siku hizi aisee

Kwa hiyo ndugu zangu msio na hela narudia tena kuwapa pole Mungu awafungulie milango ya riziki, maana kwa baadhi yenu mlango umefunguliwa mara tatu lakini mko busy mnaangalia dirishani.natamani kuwaonyesha miamala yangu na gari nayotumia kwa sasa ila basi tu ukweli mnaujua nikisema hela zimenikubali huu mwaka ni kweli zimenikubali ila pia shukrani kwa 1xbet umeninulia pair 6 za viatu jumla million moja umeninulia iphone 17 mpyaa aisee niseme nini siwezi kueleza baba ninakushukuru
Uliyoyatenda kwangu ni mengi
Shuhuda zako hazielezeki
Umefanya hili, umefanya lile
Umenipa jina, Baba ninakushukuru
Niseme nini? Siwezi kueleza
Baba ninakushukuru
Umefanya mengi, siwezi kueleza
Baba ninakushukuru
Nikulipe nini, kwa yote umetenda?
Baba ninakushukuru
Nikulipe nini, kwa yote umetenda?
Baba ninakushukuru
Baraka zako hazihesabiki
Wema wako hauzoeleki
Umefanya hili, umefanya lile
Umenipa jina, Baba ninakushukuru
Bali ninakushukuru
Baba ninakushukuru
Umefanya hili, umefanya lile
Umenipa jina, Baba ninakushukuru
Umefanya hili, umefanya lile
Utafanya na lile, Bado ninakuamin

View: https://youtu.be/epc06JASVu0?si=ADbdaCojPjygmOY-

Watu wote wakifanikiwa inabidi wawe kama huyu jamaa.

Siyo wale wengine ambao wanawaona wenzao hawana akili kisa wao wametoboa.
 
Nakumbuka kipindi kile unalalamika hauna ajira maisha magumu, ukawa unasema umeamua kua mlevi wa pombe yoyote.

Ukaja kutangaza umepata kazi kama nina kumbukumbu nzuri ilikua kama unashukuru Mungu.

Ukaja kulalamika juu ya mazingira .

Ukapotea.

Kisha ukarudi kulalamika juu ya seniors wanaotaka kila safari kwenda wao.

Leo umekuja na huu uzi.

Haya ni maendeleo.
Una kumbukumbu kama mimi. Siku hizi dogo ana swaga kama za Mpwayungu Village. Kusifia mambo ya kipuuzi.
 
Ni kiasi gani cha pesa au ni vitu gani ukivipata ndio inabadilika kutoka bado na kuwa tayari?

Mwenzetu hapo alipo anaogelea kwenye utajiri na anafurahia maisha.

Kuna mtu ana 1B hana amani na furaha aliyonayo mnyampaa.

Blaza aache kusema ana hela, aseme anajimudu yeye maisha yake. Kuja kutambia watu Tsh 5 M, raba pair 6 na iphone 17 huo ji ushamba man 🤣🤣🤣

Zaidi inaonyesha dhiki aliyonayo na asili yake.

Yeye ange toa comment bana nlikua point A nimesogea point B namshukuru Mungu tunge mu appreciate na hata kumsanua mengine mazuri.

Tambo za kishamba kama hizo zinafunga milango mingi kuliko kufungua.

Kingine kuna stage unafika unaona ni vitu vya kawaida (exposure). Real people with real money hawapendagi kujulikana, wachache watanielewa.
 
Wewe endelea kusubiria hadi upate 100M ndio uanze kuwaza na kuishi kitajiri. ndege JOHN hana huo muda, anaenda na mambo kadri yanavyokuja huku akiendelea kutarajia makubwa zaidi.

Golf mchezo wa matajiri, sasa unawezapata picha Jamaa anawaza vitu gani kichwani. Watu anaowatamani maisha yao, vitu anavyotaka kumiliki, sehem anazotaka kutembelea, maisha anayoyatamani.

Vitu vizuri haviwezi kuja kama wewe mwenyewe ndani yako hauko tayari kuvipokea.
Ni kweli maana hiyo 100 naweza nisiipate maisha yote. Kawaida ya binamu huwa hatujui kuridhika, ukipata milioni tano unatamani ungepata milioni 10 ila mwenzetu naona amejaaliwa roho ya kuridhika
 
Back
Top Bottom