Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
Ndio maana nashauri m'ume kumiliki mguu wa kuku, kes km hizo hupaswi kurukwa na akili, bal mtu anatakiwa kuendelea na maisha.. alaaa!!
Pole kwa Frank,ndio changamoto hizo
Na huenda hakuwahi kugegenda kwamba siku anaoa akute kitu mnato.au bikra....
Hii dunia hiii
100,000,000,000,like Received....yaani hakuna kosa kubwa kwenye mahusiano kama kumsomesha mpenz...we we we lazima ujute wanawake waacha kama walivyo mimi nawaheshim hapo kweny kubadili maamuz ni dk 1 atakacho fanya huto amini....FRANK wakowengi we acha tu
Safi sana...
Misukule kama kina Frank ijifunze hapa...
Unaanzaje kumsomesha mtoto wa mwanaume mwenzio?
Kwani yeye yatima?
Huenda ikawa kwan mtowa mada kaxema yy sio yatima?