PLEASE RESCUE ME.. najisikia kukata tamaa

Hapo kwenye pombe sikushauri; kujifunza kunywa kama weye si mnywaji kwa minajili ya kuondoa mawazo ni kupotea zaidi; lakini pia nishangae kidogo; kama pesa haikutoshi hii ziada unayopeleka kwenye starehe ya pombe unaipata wapi; na ili ikutoshe unafikiri ni kiasi gani...................jifunze kujinyima siao uache kula lakini kuwa matumizi muhimu na ya lazima mambo mengine kama unywaji yaweke kando kwa sasa
mkuu inawezekana anakunywa kiroba,kijongoo au kirikuu[safari ndogo]au kanda yangu bia yangu ndogo [balimi]maana kama atakuwa anakunywa daily bia 4 kawaida 2500 sawa sawa na 10000 kwa siku kwa siku 30 ni 300000.huyu kweli hawezi kuwa namaisha ya kawaida.
 
Nashukuru sana Mkuu
Pamoja sana na nafurahi kama unayakubali
Nayakubali sana mkuu na pia THE BOSS bila kumsahau MR MSHANA JR watu watulivu msio na MIHEMKO na mimi najitahidi KUWAIGA sababu hapo nyuma kidogo nilivamia jukwaa kichwa kichwa nikajivunjia heshima.
 
Nayakubali sana mkuu na pia THE BOSS bila kumsahau MR MSHANA JR watu watulivu msio na MIHEMKO na mimi najitahidi KUWAIGA sababu hapo nyuma kidogo nilivamia jukwaa kichwa kichwa nikajivunjia heshima.

Pamoja sana mkuu usiwe na shida tuko pamoja katika hilo
 
mh, ni suala la kujinyima timiza malengo yako then acha kazi urudiane na familia yako
 
Acha tu kazi uongeze kulewa, mwanaume mwenzio nipo ntakuhudumia kila kitu. Machizi kama hawa ndo wanaofanya vijana wa kitanzania tuonekane hatuna maana
 
asante kaka kwa ushauri wako mzuri ntaufanyia kazi

Pole ndugu yangu maisha ni magumu tofauti na tunavyowaza. Mtu ukiwa chuo unafanya Degree yako looking at the outside world u might think getting a job is easy and life will be a bed of roses. We all get upset tukishafika kitaa. Cha kufanya usikate tamaa, pambana utatoka. Kua na nidhamu ya matumizi ya hela yako na utaweza tu kupambana na maisha.Usione watu wapo mjini wengi maisha ni hayo hayo basi tu wanapambana.
 
Nilijua unataka kukata roho kumbe tamaa! Acha kazi uone ilivyo kazi kutafuta kazi. Matatizo hayamalizwi kwa kulewa, mahusiano hayajengwi au kuimarishwa kwa kulewa. Huyu dema kama anakyzingua kwasababu ya ubize wa kazi yako temananae maana hakufai hana uvumilivu. Tafuta kwanza kazi ndipo uache kazi.
 
Back
Top Bottom