MamaParoko
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 463
- 60
Pole Sana mkuu kama wewe ni mkristu (Roman Catholic) kuna kitu kinaitwa NOVENA huwa zinasaidia sana nakushauri uanze au kama ni mwislamu najua na wao wana njia na swala zao hasa ukiwa kwenye matatizo kama haya cha msingi wakati wa matatizo si muda wa kujiongezea matatizo mengi juu yake maana pombe unajiongezea mzigo zaidi.
Kweli kabisa, NOVENA inasaidia sana, mimi nilisali NOVENA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU, kwaajili ya kutafuta kazi nilipomaliza tu nikaitwa kwaajili ya interview na kazi nikapata.