PLEASE RESCUE ME.. najisikia kukata tamaa

PLEASE RESCUE ME.. najisikia kukata tamaa

Jaribu kutafuta ajira sehemu nyingine maana naona kwa kupitia kazi yako, unatafuta maisha mpaka unasahau kuishi! Pole Mkuu.
 
pouwa mkuu HP..Ntaanza kufanya applications .. my aultimate goal is to be an entreprenuer thou for now I need a nother job so as to get a seed capital
 
pole sana, ila naomba usiendelee kunywa pombe kwani kwa kufanya hivyo utakuwa unazidi kujiongezea matatizo zaid, pombe za kuanza kunywa ukubwani sn tena kwa kichocheo cha matatizo ni hatari zaid, pia usiache kazi ila endelea kutafuta kazi nyingine, utakapopata ndiyo utaachana nayo hiyo. Pole sana hayo ni mapito tu, pambana nayo utashinda tu.
 
Wandugu tafadhalini naombeni ushauri nifanye nini mimi kijana wenu..nilimaliza chuo kikuu mwaka 2008, nikabahatika kuajiriwa baada ya mwaka mmoja.baada ya ajira nlijiwekea malengo kadhaa lakini mpaka sasa sjatimiza hata moja. Mazingira ya kazi ni magumu sana nafanya kazi 12 hours kwa siku sita. Nimepoteza kabisa morale ya kazi na nataka kuacha kazi ila sijui ntaishi vipi ..mahusiano na mpenzi wangu yamevurugika nimekua mbali sana na familia. Nilikua sinywi pombe ila sasa nakunywa tena kila siku..

You need this Poem by Napoleon Hill

“If you think you are beaten, you are,
If you think you dare not, you don’t,
If you like to win but you think, you can’t,
It is almost certain you wont.


If you think you’ll lose, you’re lost,
For out of the world we find,
Success begins with fellow’s will-
It’s all in the state of mind.


If you think you are outclassed, you are
You’ve got to think high to rise,
You have got to be sure of yourself before,
You can ever win a prize.


Life’s battle don’t always go,
To the stronger or faster man,
But soon or late the man who wins,
Is the MAN WHO THINKS HE CAN!”
N. Hill



follow link to get Self Confidence Formula!
 
asanteni wakuu nnunu na next millionere i catch you guys I will strugle to live your advice..kwa kuzingitia ushauri wa wanajamvi jana skunywa pombe
 
Maisha ni safari, njiani kuna mabonde na milima.shida ndo nyingi.
Usije ukavunja amri ya 12... Inasema USIKATE TAMAA.
 
mkuu nimeamua kujipanga upya...yaliyopita si ndwele...kukata tamaa marufuku.
 
gamba gumu kaa utuli kijana.....tafaka wapi umekosea kwa kipindi chote wakati una kazi....kwa nini hukufikia malengo yako..nini kimepelekea hali hiyo?

tsh 1000 ni pesa kubwa ...anza kusave pesa kidogo kidogo....walau kwa mwezi hata laki moja ......acha pombe kabisa tenna iache mara moja kijana....mimi kuna kipindi ilifikia hata mshahara mwa mwezi ukawa haukutani kabisa na wa mwezi unaofuata...nikajiuliza na kujitathmini nikagundua kosa langu...nikaanza kupunguza matumizi kwa kila kitu..nikaanza kusave pesa.....nikaachana na mambo ya ajabu ajabu...baada ya mize sita akaunti yangu ikawa walau ina kitu .....nikajishugulisha sana nje ya ajira yangu nikaongeza kipato...nikatoka nikaenda mwanza nikanunua kiwanja nikaanza kujenga...baada ya hapo nikapigika kimtindo lakini nyumba imekamilika...nikaaandika bonnge la b'ness proposal nikaomba mkopo benk nikakopesheka...nikatoka nikasafiri hadi iringa wilaya ya mufindi kijiji cha sadani nikakodi mashamba ya kulima mahindi nikalima na nikafanikiwa sana...hiyo ilikuwa mwaka juzi sasa hivi nafuga samaki elimu yake niliipata hapa jf toka kwa malila biashara zingien kibao ...wakati huo wote nilikuwa mbali kabisa na anasa na za hii dunia na kuna kipindi nilikosana hata na ndugu zangu ila nikakaza uso kama gume gume.....anyway labda niseme hivi mpaka sasa nina kikampuni changu , familia safi na kazi yangu sijaacha na niko mjini huko k.....ili kufikia hatua hii unahitaji kuna na moyo wa dhati, uvumilivu na kujinyima...

bado una nafasi kaka ila weka malengo tena na anza kutembea katika malengo hayo......cha msingi ukipata pesa ya kutosha wekeza kwenye ardhi...nunua shamba , jenga nyumba nk..usikimbile magari kaka maana siku zote huwa kuna baba mwenye nyumba na kamwe hakuna baba mwenye gari....

narudia acha pombe kijana....
 
asanti sana mkuu ed for your very inspirationa l words ..i promise POSSITIVE CHANGE in hounor of your advice and my life.
 
Amka my friend,12 hours zinakutoa jasho, na bado una siku moja ya kupumzika bado unalalamika? Kwa mpango huu Wakeii lazima watumalize. Kaa kijiweni miezi miwili ndio utatamani hata kazi ya kufanya 24 hrs nini 12 hrs.
Usije ukaacha kazi kabla hujapata shughuli ya kukuingizia kipato. Eti umeanza kunywa pombe.. kama kweli una nia uto tuhela si bora utudundulize uanzishe kafirm kako basi uwe unajipangia muda wa kufanya kazi..
 
madam t nimekupata vilivyo..asante kwa ushauri
 
asante mama paroko kwa ushauri makini...naomba the finest azidadavue hizo aina za novena ili nielewe zaidi ip itanifaa..loly kazi yenyewe ni out ya niliyosemea chuo..na kazi yenyewe unakua juani mda mwingi ..aisee acha tu..

Hizi ni miongoni mwa Novena zenye nguvu sana kumuwezesha mwenye hitaji la Kazi kufanikisha hitaji lake. Ziombe kwa imani na uchaji.

1. Novena kwa Roho Kumi na Tatu Zilizobarikiwa
Novena to the 13 Blessed Souls

(Jesus & His 12 Apostles)

Oh my 13 Blessed souls so wise and understanding, I ask you for the Love of God that my request be answered.

Oh my 13 Blessed souls so wise and understanding, I ask you for the Love of God that my request be answered. Of you I ask for the sake of the blood that Jesus shed that my request be answered.

My Lord Jesus Christ that your protection wrap me with your arms. Guard me with your eyes. O God of kindness you have been my defender in life and death. I ask that you free me from the difficulties that torment me.

My 13 blessed souls so wise and understanding having received the grace I seek from you (state your request) I will be devoted to you.

Say 13 Our Father's and 13 Hail Mary's for 13 consecutive days. Publish this prayer, share it with a friend and give a Mass of Thanksgiving

Na ukiitwa kwenye usahili tumia hii Sala katika maandalizi.......

“God, I’m about to face a challenging interview for a new job. First, thank you for this opportunity. Thank you that you care about providing for my needs, and fitting me in the right employment situation is something you yourself are working to complete. I know I have you on my side in this matter. You are looking out for my best interest and I know you have a perfect job fit for me. If this is that perfect fit, then make it perfectly clear to me and to those who are making the hiring decision. Begin now to prepare the time and place where we will meet. Set the tone in the room. I know that first impressions matter a great deal, so help me to be the natural “me” that you have created so that they can see through my nervousness and anxiety to the person you have created me to be. Give me a peaceful and sharp mind. Bring to my memory all the knowledge and wisdom that is already there. Let your joy and contentment flow out through my words. And whatever the result, let this process be a blessing to those who review my case, and also to me and my family along the way. Lord, right now I receive your “shalom” peace. I trust you to work in and through this interview process. I trust you to provide for all my needs. And if this is your perfect fit, then let nothing stand in the way. If it is not right, then close the door and lead me quickly to the right next step. In your name, I bless those who will be conducting this interview. Give them wisdom, peace and rest as well. I receive now, ahead of time, your promise – ” I will never leave you or forsake you!” I believe this and oh, do I need it. I don’t go into this interview alone. You are with me. And with that confidence, I am at peace. Help me now to feel that peace. In Jesus…”

Kwa yeyote atakayeitumia Novena na Sala hizi, asisahau kurudi kutupa ushuhuda ili kwa kufanikiwa kwake Baba wa Mbinguni ahimidiwe.
 
Acha kazi then utakachopata weka heshima bar,
Zikikata rud kijijin kajipange upya!
 
Wandugu tafadhalini naombeni ushauri nifanye nini mimi kijana wenu..nilimaliza chuo kikuu mwaka 2008, nikabahatika kuajiriwa baada ya mwaka mmoja.baada ya ajira nlijiwekea malengo kadhaa lakini mpaka sasa sjatimiza hata moja. Mazingira ya kazi ni magumu sana nafanya kazi 12 hours kwa siku sita. Nimepoteza kabisa morale ya kazi na nataka kuacha kazi ila sijui ntaishi vipi ..mahusiano na mpenzi wangu yamevurugika nimekua mbali sana na familia. Nilikua sinywi pombe ila sasa nakunywa tena kila siku..
endelea kunywa pombe acha na kazi? alafu uje utuletee mrejesho wa maisha yatakavyo kuwa!
 
endelea kunywa pombe acha na kazi? alafu uje utuletee mrejesho wa maisha yatakavyo kuwa!
endelea kunywa pombe acha na kazi? alafu uje utuletee mrejesho wa maisha yatakavyo kuwa!
HAHA MKUU SI NILIOMBA USHAURI? SIKU HAZIGANDI NDUGU NILICHUKUA MAAMUZI MAGUMU MWAKA 2012, NIKAACHA ILE KAZI, NIKACHUKUA MAFAO YANGU NIANZISHA BIASHARA MUNGU AKANIJALIA MAMBO YAKAENDA VIZURI NIKAWA NAPATA FAIDA MARA DUFU YA MSHARAHARA NIKATOA AJIRA KWA WENGINE,THEN BAADA YA MWAKA MMOJA NIKAPATA AJIRA NYINGINE NZURI SANA, NIKAOWA NIKAJENGA NIKANUNUA USAFIRI NIKAPANUA BIASHARA NIKO MBALI SANA SASA HIVI.
 
Umepoteza morale kwasababu umeanza pombe kama mfariji wako na ukiamka hali ile ile ,pia unataka kuacha kazi wakati huna nyingine unatafuta kurukwa akili,mpenzi akuvumilie ila kaka kama umezidi vile miaka nane hujatimiza lemgo hata moja hela umepeleka wapi?kama unazo hamna shida ila kama na hela huna wewe ndio tatizo badilisha mfumo wa maisha yako.
 
Umepoteza morale kwasababu umeanza pombe kama mfariji wako na ukiamka hali ile ile ,pia unataka kuacha kazi wakati huna nyingine unatafuta kurukwa akili,mpenzi akuvumilie ila kaka kama umezidi vile miaka nane hujatimiza lemgo hata moja hela umepeleka wapi?kama unazo hamna shida ila kama na hela huna wewe ndio tatizo badilisha mfumo wa maisha yako.
I M NO LONGER IN THAT SITUATION. HII ILIKUA 2011
 
Back
Top Bottom