Pingu ya Muro


Inabidi utembee nazo mkuu. Unaweza ukapata wale wa MDUARA ukaamua kuzitumia haraka haraka.
 
lakini ni pingu zipi hapa zinazungumziwa wajameni? Pingu za mapenzi ndio zile za ukonga na segerea au ndio zile za kubembelezana, nimeanza kupata upofu
 
mmm!!!! hapo MMM umenipiga chenga ya mwili.
 
Hii habari inanichanganya. Kuna mahali nimesikia TAKUKURU inatajwa,. lakini sijasikia chochote kutoka kwao, ina maana nao wanashirikiana kutisha watu? Maana huyo mtu anadai walikwenda watu nyumbani kwake saa 12 asubuhi wakijitambulisha kuwa ni afisa wa TAKUKURU na MWANAJESHI ambae pia ni mwanahabari. Huyu Jerrry ana ubavu gani wa kucheza na vyombo hivi vikubwa vya dola?? Tunaomba tuwekwe wazi, maana POLISI hatuwaelewi. Au ndiyo kweli hii nchi kila mtu kivyake??
 
Pingu kwangu inanisaidia sana nikilala na kimada nisicho kiamini amini kinaweza niibia usiku tunakubaliana tu nakipiga pingu tu kitandani kikitaka kwenda kujisaidia kinaniambia tu nataka kwenda haja. Hii ni kulinda masrahi.
 
Pingu kwangu inanisaidia sana nikilala na kimada nisicho kiamini amini kinaweza niibia usiku tunakubaliana tu nakipiga pingu tu kitandani kikitaka kwenda kujisaidia kinaniambia tu nataka kwenda haja. Hii ni kulinda masrahi.
tatizo la kubeba vyangudoa.
 
mkubwa hapo umeshaona kosa tayari? hata kesi haijaenda mahakamani?

kawaida mbona kuhukumiwa kabla y akusikilizwa!!!!!!!!

Watu wengine wako kama wapiga ramli hivi.

wakina sheikh nanihiiii !!!!!!!!!!!!!!!!

Pingu kwangu inanisaidia sana nikilala na kimada nisicho kiamini amini kinaweza niibia usiku tunakubaliana tu nakipiga pingu tu kitandani kikitaka kwenda kujisaidia kinaniambia tu nataka kwenda haja. Hii ni kulinda masrahi.

jambo likazua jambo!!!!!!!!!!!!!

enheeeeeeeeeee tutasikia mengi hapa yahusuyo pingu!!!!!!!
 
kawaida mbona kuhukumiwa kabla y akusikilizwa!!!!!!!!


kweli b!

Ila hii dhana ya pingu kama oilivowasilishwa na mtumishi MMM, nimeipenda nataka nikaijaribu nyumbani.

Zinauzwa wapi B? nitahakikisha napata risiti just in case.....
 

Yawezekana kaka, mbali na bongo yaweza kuwa Mogadishu atii!
 
kweli b!

Ila hii dhana ya pingu kama oilivowasilishwa na mtumishi MMM, nimeipenda nataka nikaijaribu nyumbani.

Zinauzwa wapi B? nitahakikisha napata risiti just in case.....

mweee B!!!! muulize Mkuu Sikonge ndo anajua!!!!!!!!!
 
naungana nawewe kua hapa kuna kitu kimejificha,ila mwisho wa siku ukweli utajulikaka na wapo watakao inamisha nyuso zao chini kwa aibu kubwa watakayoipata,hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
enheeeeeeeeeee tutasikia mengi hapa yahusuyo pingu!!!!!!!

Raia ya kawaida siku hizi ruksa kumiliki pingu ukimata kibaka unampiga pingu mpaka sentro
 
kweli b!

Ila hii dhana ya pingu kama oilivowasilishwa na mtumishi MMM, nimeipenda nataka nikaijaribu nyumbani.

Zinauzwa wapi B? nitahakikisha napata risiti just in case.....

Nimeshaandika.

Ziko hapa nyingi tu zinauzwa.

http://everythingelse.shop.ebay.com...dcuffs&_catref=1&_fln=1&_trksid=p3286.c0.m283

Ebay wanatoa na risiti na ushahidi kuwa uliagiza EBAY upo.

Hivi KOVA nguo na viatu vya kiraia alivyonavyo ana Risiti? Mie sina risiti ya vitu vingi tu. Hivi PINGU ni silaha?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…