Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Mtoto wa Mkulima amesahau alikotoka
Huyu mtoto wa mkulima sasa hivi naona amekuwa mtoto wa fisadi. Juzijuzi wametangaza kuanza kupeleka umeme nje ya nchi na reli kupeleka nchini kongo drc ila umeme wa kwenda vijijini inabid tuuchangie 1000. Halaf hajatueleza marundo ya kodi tunayolipa yanakwenda wapi
January alikuwa anajibizana na mnyika wala hayatuhusu sisi na hakuwa anaongea kwa niaba ya chama wala serikali.CCM kina msemaji wake (NAPE) na Serikali ina msemaji wake pia, ingawa wanatuchanganya sana na hatujui ni nani hasa.
Ni jambo la kushangaza sana January kulalamika kwenye vyombo vya habari. Unafiki tu
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme vijijini.
Alisema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja mkoani Ruvuma.
Pinda '' ni kama vile tozo iliyoongezwa kwenye mafuta ya petrol, ambayo imetupa fedha nyingi katika mfuko wa barabara, za kuunganisha miji na mikoa''.
Aliongeza '' Nani asiyetaka vijiji vipate umeme kama miji, ili usaidie kuondoa giza, uendeshe viwanda vidogo vidogo na usaidie kukuza uchumi? Wanaopinga tozo hii, hawatutakii mema'' alisema Pinda.
source: Habari leo
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme vijijini.
Alisema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja mkoani Ruvuma.
Pinda '' ni kama vile tozo iliyoongezwa kwenye mafuta ya petrol, ambayo imetupa fedha nyingi katika mfuko wa barabara, za kuunganisha miji na mikoa''.
Aliongeza '' Nani asiyetaka vijiji vipate umeme kama miji, ili usaidie kuondoa giza, uendeshe viwanda vidogo vidogo na usaidie kukuza uchumi? Wanaopinga tozo hii, hawatutakii mema'' alisema Pinda.
source: Habari leo
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme vijijini.
Alisema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja mkoani Ruvuma.
Pinda '' ni kama vile tozo iliyoongezwa kwenye mafuta ya petrol, ambayo imetupa fedha nyingi katika mfuko wa barabara, za kuunganisha miji na mikoa''.
Aliongeza '' Nani asiyetaka vijiji vipate umeme kama miji, ili usaidie kuondoa giza, uendeshe viwanda vidogo vidogo na usaidie kukuza uchumi? Wanaopinga tozo hii, hawatutakii mema'' alisema Pinda.
source: Habari leo
Hii kitu wakiendelea kuikomalia yaweza kuwa kaburi lao zuri sana 2015, hiyo kitu ina athari ya moja kwa moja hadi kwa kwa wale wazee kule vijijini ambao ni mtaji wao mkubwa.
Mh, Tanzania tuna Wazir mkuu kwel.