Pinda: Wanaopinga kodi ya simu hawana jema

Pinda: Wanaopinga kodi ya simu hawana jema

We maundumula hata ckuelewi kabisa, ni asilimia ngap ya mshahara wako unatumika kwaajili ya kulipakodi? Mbali na hiyo kodi inayokatwa huko kwenye makato, asilimia umayobaki nayo unalipa kodi kila unaponunua bidhaa na ukihitaji social service na bado ktk asilimia inayobaki ulipe kwaajili ya line yako ya simu. Na mshujuru mungu hata una huo mshahara bt uko vijijin kuna watu simu yenyewe ndan ya mwezi hatumii zaidi ya sh 1000 na yenyewe ya kutumiwa na mjukuu wake ambaye yuko mjini alienda kutafuta baada ya kukosa afa ya kumuendeleza na elimu ya sekondary, mfikirie mtu ka huyu ndo unamkatia hiyo shiling kwa mwezi...
 
Afu pinda unajua akili haimtoshi ivi huyo mtu wa kijijin anayetaka kumpelekea umeme ataweza kuafford au wanawawekea bure!?
 
Mtoto wa Mkulima amesahau alikotoka


Hajasahau alikotoka kwani sasa ndio amewakumbuka angalau kuwatoa gizani kwa kuwapelekea umeme.

Labda sisi mabepari wadogox2 wa mijini ndio tumewasahau wajamaa wetu walioko vijijini.
 
Afu pinda unajua akili haimtoshi ivi huyo mtu wa kijijin anayetaka kumpelekea umeme ataweza kuafford au wanawawekea bure!?


Tatizo sisi tulio mijini tunajiona ni bora zaidi ya wale walioko vijijini na kuhisi kwamba huduma watakazo pelekewa ni sawa

na kuwapelekea wajinga fulani kumbe sivyo.Wakati ni huu vijiji vyetu vipatiwe umeme na mahitaji mengine yatajiseti yenyewe.

Tena walioko vijijini watakuwa walipaji wakubwa wa bill kuliko huku mijini kuliko na ukwepaji mkubwa wa ulipaji wa bill za umeme na kufikia baadhi ya watu kujiunganishia huduma hiyo kwa wizi.
 
Pinda ameishatuona watanzania wajinga sana. Hizo hela zikishakusanywa zinaenda kwenye pool hazina baada ya hapo ndo zinapangiwa matumizi kama posho za safari, vitafunwa ofisini, kununua magari mapya, semina za kijanjajanja zisizo na tija, safari za viongozi wetu ndani na nje ya nchi nk.
 
Wanaopinga tozo ya line ya simu wapigwe tu! Wapigwe kweli kweli!
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme vijijini.

Alisema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja mkoani Ruvuma.
Pinda '' ni kama vile tozo iliyoongezwa kwenye mafuta ya petrol, ambayo imetupa fedha nyingi katika mfuko wa barabara, za kuunganisha miji na mikoa''.

Aliongeza '' Nani asiyetaka vijiji vipate umeme kama miji, ili usaidie kuondoa giza, uendeshe viwanda vidogo vidogo na usaidie kukuza uchumi? Wanaopinga tozo hii, hawatutakii mema'' alisema Pinda.

source: Habari leo
 
Wasubiri 2015 tutawauliza kwa viboko ni kwanini wamewatesa watanganyika kwa zaidi ya miaka 50.
 
Huyu mzee ni mse...ng.,huwa anaropoka tu na li-sura ka secret part za nyani wa kike, kwenye madin wanasamehe kodi,kama ni tozo basi mrahaba mdooogo,halafu anahimiza watu wafuge nyuki je mnadhani ana akili timamu huyo?
 
Kweli mwaka huu naona kapinda kwani maamuz yake yaliyo mengi yana walakini
 
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme vijijini.

Alisema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja mkoani Ruvuma.
Pinda '' ni kama vile tozo iliyoongezwa kwenye mafuta ya petrol, ambayo imetupa fedha nyingi katika mfuko wa barabara, za kuunganisha miji na mikoa''.

Aliongeza '' Nani asiyetaka vijiji vipate umeme kama miji, ili usaidie kuondoa giza, uendeshe viwanda vidogo vidogo na usaidie kukuza uchumi? Wanaopinga tozo hii, hawatutakii mema'' alisema Pinda.

source: Habari leo

wasitufanye Misukule bana, na hii tunayochanga kwenye LUKU zinaenda wapi!??? shame this country!!
 
Hawa viongozi wote hawajui gharama za simu kwasababu wanapewa posho (air time) za bure kutokana na kodi zetu!

hawawez kujua gharama za maisha. Wazee wao walilelewa na chama na maruprup kibao, baada ya kuingia ktk kada hizi ndio kila kitu kinalipwa na kodi zetu ukianzia afya yake na familia yake, sio bint wa ndani wala mlinzi bali mpaka mboga yake inafatwa kwa v8. Hao ugumu wa pesa wanausikia watu wakiongea, angewauliza wananchi huko alikokua akihutubia wamweleze jinsi gharama tu ya viberit zinavyowatesa.
 
Ni Tanzania pekee nchi ambayo waziri mkuu huwa anajiropokea yanayopingwa na wabunge,uongo,yanayokinzana na Rais wake na mwisho kulia kama mwanamke aliefiwa
 
Afu pinda unajua akili haimtoshi ivi huyo mtu wa kijijin anayetaka kumpelekea umeme ataweza kuafford au wanawawekea bure!?

Hiyo ya umeme vijijin binafsi naona kama ni ndoto kuwafikishia umeme. Ukiangalia mijini kwenyewe kuna maeneo ambayo nyumba zimepangana na nguzo moja tu inaweza kuhudumia nyumba kadha tena wengine wakiwa chini ya km1 toka nguzo ya mwisho imeshindikana kuwapatia umeme na sabab haziish leo useme vijijin ambako mamia ya nguzo zinahitajika kukifikia kijij na toka nyumba moja hadi nyingine ni mguzo kadha na wateja utakuta hawafik hata 100. Na hata wakipelekewa bure hakuna viwanda wala mashine huko zaid ya zile za kusaga unga na ukiangalia haraka haraka idad kubwa ni wake watakaotumia chin ya unit 50 kwa mwez. Hivyo bil zao zitashindwa hata kununua mafuta tu ya transfoma itakayowahudumia. Shortly hivyo ni viini macho na kama ni kwel wathibitishe tangu tumeanza kukatwa REA ni vijij vingap tena kwa majina vilishapata umeme?
 
Wakuu JF Amani iwe Nanyi.


Wakati Napitia Kwenye Uzi wa VIKWAZO


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wahariri-hii-tabia-ni-sahihi.html#post6892227

Ndo nikakuta Malelezo ya PM Pinda kuwa Tozo la 1000% per month kwenye kila SIM Card ni kwa ajili ya Kupeleka Umeme Vijijini.
Hivi Jaman hii ni comment ya Kutolewa na Serikali Kweli ??? tena wakati Huu ambao kila Mtanzania mwenye kutumia simu ya Mkononi analalamikia Hii Tozo !

Hivi Obama amekuja Tanzania kufanya nini?

Si Serikali hii hii imesema kuwa Obama na Rais wa China wame ahidi kusaidia kufikisha umeme Vijijini!

Ina Maana kutoza watu 1000 kwa Mwezi kupitia SIM card zao ndo Mchango wa Tanzania Kwenye ku Boost Ahadi ya China na Obama?

Hivi jamani Serikali yetu inatufanya Mazuzu ama yenyewe ndo Serikali Impotent kwa Kushindwa Kusoma Saikolojia ya Wananchi wake!

Yaani ni Serikali hii hii iliyotaka kutunyang'anya Wa Fanyakazi Fao letu la Kujitoa, tuka React, leo hii tena Wamekuja na Kodi ya SIM Card?

Hii Kodi Technically ina Maana kuwa Gharama za Mawasiliano zimepandishwa?

Nini Maana ya Kupunguza Gharama za Mawasiliano (TCRA, kuanzia March this Year).?

Hata Miezi sita Haijafika, washakuja na Kodi ya SIM Card.

Ushauri wa Bure kwa Serikali


Kama kweli wangekuwa wana hitaji 1000 Kwa Mwezi kwa Kila Mmiliki wa SIM Card, si wangepandisha tu Gharama za Mawasiliano na Waka kata Chao Juu kwa Juu kutoka kwa Makampuni ya Simu.
 
Back
Top Bottom