Pillow talk


Mmhhhhh utakuwa timu hii
 
Naona team "washika mito" wakifarijiana teh teh! Lakini jamani kubembelezwa na mto ni bonge la upweke hasa kwa masiniya bachela. Mpwa wangu KikulachoChako sijui anaweza vipi.
Upweke mno.....! Naona mliokuwa pilo talk ndio mnarud
 
Pillow talk itafanyika saa ngapi,kidume akitoka kazini baada ya chakula cha usiku anakaa sebuleni kuanza kuangalia movies hadi saa saba usiku,mke nae unamkuta bize anachati kwenye magroup ya whatsapp.....
-wakikutana kitandani wanaanza kuchimbana mikwara.....
 
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yameharibu vingi
 
hamna aisee kwangu hata ije sayansi gan haiwez harb moment kama hii na habibty wangu,,kale ka joto cha kifuani kutomaswa tomaswa kiuno na maneno matamu haviwez kuwa replaced aisee
Una baht wewe wengi hivyo vitu wanaviskia kama story za kufikirika
 
hamna aisee kwangu hata ije sayansi gan haiwez harb moment kama hii na habibty wangu,,kale ka joto cha kifuani kutomaswa tomaswa kiuno na maneno matamu haviwez kuwa replaced aisee
Ádimu saana.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…