Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,632
mkuu mimi napenda mademu wazuri mno ila siwapat je tatizo ni nini ukiacha pesa sina?Nakuombea uondoke huko ASAP
mkuu mimi napenda mademu wazuri mno ila siwapat je tatizo ni nini ukiacha pesa sina?Nakuombea uondoke huko ASAP
Haahaaa asaaante kwa kunimissMarahaba mdogo angu, umenitisha khaaa. Mich yeew more Lil sis
Mkuu mbona kaumri kakubwa tuTatizo umri![]()
Haaahaa jmn mie ni mwanae mwingine muulize heaven sent akupe more detailsMmmmmh!!! Hanaga utani yule mzee, msinifanye mtoto jamani.

Toooobaaaa najuuta kupita pande hiziiiiTujiandae!! Hujaona hilo balaa ulolileta!!
Nina shida na wewe ex shemeji, hill and portion jiandae.
mie ndukiiiiiii tuuuu
hakajawa kakubwa bado kakifika utajua tuu ila punguza vigezo na masharti
Niliisoma hiyo comment nikasonya kimoyo moyo.Hivi vitu vingine jamani muwe mnawapunguzia kero wake zenu. Badala ya kuwaza mkeo atakufanyia nini, jiulize wewe utamfanyia nini yeye kwanza. Hivi utoke huko kwenye mipombe yako, umkiss mwenzio na liharufu hilo? Kapige mswaki kwanza, tafuna na big g. Afu baba jitu zima kwa nini usinywe responsibly? Unywe hadi ujitapikie afu umshikishe mkeo matapishi yako as if unaumwa bana. Kabla hujawish mkeo akuvumilie, em wish kumpunguzia kero mkeo ili asikuvumilie sana. Mnanichosha mie khaaaa
Hii habari mbona sina!! Hii dunia ishajipodoa inajiandaa kutoka.Haaahaa jmn mie ni mwanae mwingine muulize heaven sent akupe more details![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii habari mbona sina!! Hii dunia ishajipodoa inajiandaa kutoka.
mie mwanae ila siyo wa kunizaa only undugu upande wa wazaziAah hapana jamani. Wanawake tumeumbwa mateso ya ndoaNiliisoma hiyo comment nikasonya kimoyo moyo.

Kwahiyo ndio unataka kuunganisha udungu kitandani??![]()
![]()
mie mwanae ila siyo wa kunizaa only undugu upande wa wazazi
Acha uoga dogo.
Utakuwa na pepo la kibachela mkuu.....
Hata weweeee????Hivi vitu vingine jamani muwe mnawapunguzia kero wake zenu. Badala ya kuwaza mkeo atakufanyia nini, jiulize wewe utamfanyia nini yeye kwanza. Hivi utoke huko kwenye mipombe yako, umkiss mwenzio na liharufu hilo? Kapige mswaki kwanza, tafuna na big g. Afu baba jitu zima kwa nini usinywe responsibly? Unywe hadi ujitapikie afu umshikishe mkeo matapishi yako as if unaumwa bana. Kabla hujawish mkeo akuvumilie, em wish kumpunguzia kero mkeo ili asikuvumilie sana. Mnanichosha mie khaaaa
,