Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

Umejieleza vizuri sana na inafaa sana kwa hiyo kazi ya marketing mkuu, unawajibu wadau vizuri na pia kuwaelekeza kwa washindani wako wa kichina, safi Sanaa.

Hii inampa credit sana huyu bwana...yaaan inamaana ni mahala salama pa kununua pkpk...ni mkweli mnooo....kitu ambacho ni adimu sana kwa aina ya masoko yetu! Asante muuzaji pkpk
 
CG 6.jpg
 
HONDA XL125 MPYA ZIMEINGIA STOCK. WADAU WA HONDA XL125.
IMG_20160701_141334.jpg
MNITAFUTE TUFANYE BIASHARA.
IMG_20160701_141310.jpg
 
stock mpya imeingia Honda Tuf 125. wadau waliokuwa wanaulizia hizo pikipiki wanitafute 0689866100 au 0717518359.

IMG_20160702_122628.jpg
 
utaratibu nikesh tu?hakuna utaratibu wa kukopesha na kulipa kidogo kidogo?nauliza mufti wangu
 
utaratibu nikesh tu?hakuna utaratibu wa kukopesha na kulipa kidogo kidogo?nauliza mufti wangu
Papaa kishimba, utaratibu wetu wa mikopo upo.
kuna kulipa kwa kubandika yaani unaanza kulipa asilimia 50 ya malipo kisha zingine unalipa kwa awamu na muda wa kumaliza deni usizidi miezi 3. Kwa utaratibu huu, chombo hupewi mpaka umalize malipo.

Utaratibu mwingine, tupo na crbd bank, wanatoa mikopo ya Honda kwa wateja wetu. kuna masharti ambayo lazima utekeleze pale crdb, kama kujaza fomu, kuweka wadhamini, na mambo mengine. ukifanikiwa kumaliza masharti yao utatakiwa ulipe asilimia 20 ya malipo. kisha wao watakupa piki piki ya Honda na kila mwezi lazima upeleke 120,000 au 150,000. Crdb wao wanatoa mikopo ya boda boda ya mwaka au miaka miwili.

utaratibu mwingine, tupo na saccos ya Kitunda, wao nao wanatoa mikopo ya Honda Pikipiki kwa wanachama wao. hawana masharti mengi kama crdb, unachotakiwa ni kujiunga na chama chao na kuwa mwanachama wao. kisha kuna masharti yao unatakiwa utekeleze kama unaomba mkopo kwao. Kitunda saccos ni saccos kubwa ina members zaidi ya 8000. ni taasisi kubwa na inahudumia wakazi wote wa dar es salaam. ofisi zao zipo kitunda shule.

Hizo ndio njia ambazo nazifahamu.
 
HONDA ACE 125 CB TOLEO MPYA ZINA STARTER NA MATAIRI YA RIM SPORTS NA UPANA UMEONGEZEKA. BEI MIL 3.5 NJOO OFISINI ZETU ZA MSASANI.

IMG_20160711_092448.jpg
 
Back
Top Bottom