Cbx twister hazitengenezwi tena kiwandani wamesha discontinue kitambo hizo hazipo. Stock mpya za Honda ambazo tunatarajiwa kuletewa ni Honda xl 125 LEK Bei Million 7. Honda CRF 250 Bei ni Million 15. Honda CTX 200 Bei million 12.honda cbx twister inakuja kwa tsh ngapi???
Tembelea Duka letu la Msasani Showroom ujionee piki piki za kisasa za Honda zenye mvuto na zenye uhakika wa maisha kwa watumiaji. piga simu namba - 0717- 518359 na 0689866100 kwa mawasiliano zaidi au kwa
Barua pepe- qml.msasanisales1@qualitygroup.com
View attachment 329229 View attachment 329229
View attachment 329230
Sawa karibu.mimi nitakutafuta mzee mwenzangu...ila nahitaji pikipiki yenye uwezo wa kutembea zaidi ya km 600
hamna boxer bm 250kuna boxer bm 100 kickstarter, bm 150 na bm 250
Wewe kweli ni mfanyabiashara. Angekuwa mwingine hapo yangekuwa matusi tusisi ni wakala wa piki piki za Honda tu. Kama unahitaji piki piki ya fekon nenda kampuni ya fekon ofisi zao zipo kariakoo ,kituo cha bakhressa. Piki piki za sunlg wanasambaza kishen enterprises ofisi zao zipo buguruni mwananchi au nenda kwa mawakala wao wapo wengi kariakoo na mnazimmoja.
Nina Honda nx250 nishawahi kui post humu kuwa naiuza Mashine hiyo nliinunua Denmark IPO mpaka sahvi ...bado naiuza ntafutie mteja
...we jamaa uko vizuri kwenye masoko...tofauti na dalali mmoja anajiita anti Munawar..sijui kafia wapi siku hizi yule mtoto jelebi pasua!asante kaka kwa ufafanuzi.
Mzee mwenzangu inaweza kufikia sh... Ngapi hiyo yenye uwezo was kutembea zaidi ya km 600?Sawa karibu.
Hizo zinazotembea km 600 siwezi jua bei yake mkuu kwasababu hazipo stock.Mzee mwenzangu inaweza kufikia sh... Ngapi hiyo yenye uwezo was kutembea zaidi ya km 600?
Saws mkuu hizi za kawaida zinauwezo was kutembea km ngapi bila kupumzika?Hizo zinazotembea km 600 siwezi jua bei yake mkuu kwasababu hazipo stock.
kwa mimi navyojua, Honda 125 cc zina uwezo wa kwenda km 170, 200 mpaka km 250 bila kupumzika. kuna mdau mmoja aliniambia ameweza kuendesha Honda km 360 bila kupumzika, siwezi kumpinga kwasababu Honda ni pikipiki bora na ina engine imara sana kwahiyo unaweza ku overide kms bila kupumzika. lakini ni vyema ufuate kanuni za uendeshaji na usioveride zaidi ya kiwango kwa maana utaunguza kila kitu kwenye engine. safety precautions ni muhimu.Saws mkuu hizi za kawaida zinauwezo was kutembea km ngapi bila kupumzika?
HIVI ZILE PIKIPIKI(HONDA TRAIL 1.10) BADO ZINATENGENEZWA MKUU?Honda CT 110 mpya zipo tunazo chache zilizobaki stock. Bei ni million 7.3.
Ndio bado zinatengenezwa kiwandani. lakini kwetu stock imeisha tunasubiri stock mpya. cheki Honda hii kwenye picha itakufaa??HIVI ZILE PIKIPIKI(HONDA TRAIL 1.10) BADO ZINATENGENEZWA MKUU?
speedHaifiki kivipi?
MKUU NI HONDA AINA GANI HII NA BEI YAKE?Ndio bado zinatengenezwa kiwandani. lakini kwetu stock imeisha tunasubiri stock mpya. cheki Honda hii kwenye picha itakufaa??
View attachment 349947
HONDA XL 125 LEK. ELECTRIC STARTER. BEI MILLION 7. WARRANTY YA MATENGENEZO MIAKA MIWILI BURE. USAJILI TUNAKUFANYIA BURE. UNAPATA NA HELMET MOJA YA KISASA BURE. KARIBU OFISINI MSASANI.MKUU NI HONDA AINA GANI HII NA BEI YAKE?
ndo zina lim ya spoke??Tuna stock mpya ya Honda Ace CB 125 zimerudi. Bei ni Mil 2.8 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima. Tazama picha yake hapa. kwa wale wadau waliokuwa wanazitafuta, waje showroom yetu ya Msasani au piga simu 0717-518359.