- Thread starter
- #181
Hio ya kwenye picha sio Mil 7 mkuu.7, 000, 000?
Hio ya kwenye picha sio Mil 7 mkuu.7, 000, 000?
ndio mkuu,zinatumika kama boda boda. ziko vizuri.zinaweza fanya biashara kama boda boda?
Asante kwa swali zuri, kampuni yetu ya Quality Motors ltd ni Agent wa Honda Tanzania, tunasimamiwa na kampuni ya Honda ya South Africa. Kampuni ya Honda South Africa ndio wanaosupply piki piki za Honda kwa Tanzania na nchi nyingine za Afrika.Hizi pikipiki zenu ni Made in Japan or India under licence?
Asante kwa kunijibu. Kwahiyo zinatengenezwa South Africa, Japan, or India? au ni nchi ganiAsante kwa swali zuri, kampuni yetu ya Quality Motors ltd ni Agent wa Honda Tanzania, tunasimamiwa na kampuni ya Honda ya South Africa. Kampuni ya Honda South Africa ndio wanaosupply piki piki za Honda kwa Tanzania na nchi nyingine za Afrika.
Speed kwenye dash board ni 140 ila haiwezi kufika huko, pengine kwenye mteremko mkali. Top speed yake ambayo mtengenezaji amesema ikimbie ni 95 km/hr, ila unakuta mtu anaikamua hadi inafika 120,, matokeo yake ndo kuanza kubadilisha spares mapema coz engine inazidishwa uwezo wake. Soma manual yake utaona, au google boxer bm 150 utaona ninachokuambia.Hivi boxer bm 150 ina spidi ngapi maximum?
South Africa.Asante kwa kunijibu. Kwahiyo zinatengenezwa South Africa, Japan, or India? au ni nchi gani
kwasasa hatuna hizo Honda CT 110. uongozi wa kampuni unaangalia uwezekano wa kuzileta tena nchini.inapatikana Honda 110 trial?
![]()
Roho ya paka, ila bei yake ndio majangakwasasa hatuna hizo Honda CT 110. uongozi wa kampuni unaangalia uwezekano wa kuzileta tena nchini.
Tuna wateja wengi huko mkoani tunawasafirishia piki piki na wanapata piki piki zao bila usumbufu wowote. kwahiyo usiwe na shaka na kampuni yetu kwasababu tunafahamika kwa wadau wengi na ofisi zetu zinafahamika.Kwa mtu aliyeko mkoani anawezaje kufanya biashara na nyie, mfano mimi nipo Kigoma mtaweza nitumia? Maana kununua pikipiki hapo mpaka hujue pa kupeleka ili isafirishwe unaweza ata kuibiwa hivi hivi na wahuni
lazima bei iwe tofauti na dar kwasababu gharama ya usafiri ndio zinafanya bei iongezeke kwa huko mikoani.Shukrani mkuu ila hawa jamaa huku wana bei kubwa sana
sawa.Dawa za mitishamba za kutibu matatizo na mapungufu ya nguvu za kiume sh 20000..nitafute 0744069527