mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Ndio asilimia kubwa wa vijana wa chadema hawaendi hoja kwa hoja wao ni matusi na kejeli ndio hoja zao na wanataka chochote wanachosema wao usipinge unakuwa tayari adui na hii yote wanaiga viongozi waoBahati mbaya uliyonayo ni kudhani matusi na maneno ya shombo ni mbadala wa kujibu hoja na kutetea unachokiamini
Na hii ndio bahati mbaya kubwa iliyokikumba chadema. Vijana wengi wamejielekeza kwenye matusi na maneno ya shombo kushabikia upuuzi. Wenye akili wamekaa wametulia hawataki kujihusisha na upuuzi
Nilidhani najibishana na mtu kumbe nili overlook! Samahani sana, Mimi sio wa mijadala ya aina hiyo
Unachokifanya hapa ni kujaribu kukwepa ngumi kwa kufumba macho