Pigo takatifu dhidi ya Chadema muda huu

Pigo takatifu dhidi ya Chadema muda huu

Ujima huu wa kisiasa sasa umevuka mipaka ya nchi yetu kiasi kwamba wale waliokuwa wanatuona sisi ni 'role model' kwao wameshuhudia kwa macho yao tukigeuka kuwa kichekesho na kikanda na dunia. Kutokana na historia ya kisiasa ya nchi yetu, kwa sehemu kubwa viongozi bado wanakuwa 'nominated' badala ya kuchaguliwa. Haya yametupata kwa sababu kuna taasisi na watu mmoja mmoja wenye dhamana ambao hawakuwajibika ipasavyo. Bila shaka wanatambua kuwa jambo baya zaidi kwa maisha ya taifa ni kurudia kosa.
 
Ww ndo hujui kuwa kuna watu wanaifahamu hiyo familia kuliko unavyojua..Acha uongo
Hatubishanii kufahamu familia za watu hapa wala sina sababu ya kukulazimisha uamini nacho kisema kina ukweli asilimia 100.

Mimi naongelea tukio na walioathirika na lile tukio kwasababu nalifahamu vema na ninawafahamu wote walioathirika na tukio lile tena kwa majina yao.

Sasa wewe endelea kufahamu vizuri familia, Mimi siko kwenye familia.

Siwezi kukushikia fimbo uamini ninachokisema kwasababu si Mimi wala wewe atakayeongeza senti kwenye bank account kwa kubishania kufahamu familia za watu
 
Back
Top Bottom