Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,263
Lete katiba ya Taasisi yenu ACT hapa.Ulinisikia wapi nikipangia watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete katiba ya Taasisi yenu ACT hapa.Ulinisikia wapi nikipangia watu?
Halafu?
Tuone ile nguvu na Ukuu wa kiongozi wa chama mungu wenyewe anasubiri...Halafu?
Na ukishaiona?Tuone ile nguvu...
Umma upate kuona tofauti ya mnachosema na mchofanya...Na ukishaiona?
Mbowe anazidi kubamizwa.
Halafu?
Unalazimisha?Dawa tayari inafanya kazi...
Chadema ziiiii!
Mbowe anazidi kubamizwa.
Hujui unachosemaHayo ni madini fake mkuu, kwa sisi tuliokulia machimboni tunayaita kakumba...mke wa muro hakuwahi kukamatwa kwenye hiyo inshu ya wale watu wa IT 41...analeta story za kinafki tu...acha kbs huo uzushi
Acha mkuu..c hata ww umpe hyo k yko kwn shida iko wp?Msigwa yupo njiani!
Myika yupo njiani!
Sugu yy tayari anasubiri mda
J.haule yy tayari anasubiri mda
A.kiwanga tayari nae anasubiri mda
U.peneza yupo tayari anangoja mda.
Mboe na madem zake wawili E.bulahya na H. Mdeee ndio watakao baki kumalizia rudhuku nakufungua kampuni zao.
Ww ndo hujui kuwa kuna watu wanaifahamu hiyo familia kuliko unavyojua..Acha uongoHujui unachosema