Wewe ni aina ya kina mdude tu! Humfahamu mtu unayemsema
Nimfahamu nimpeleke wapi to begin with?
He is nobody,hana hela hana akili,he is useless just like me!
Muro aligombea udiwani kwasababu ya UKAWA! Tangu yuko CCM hakuwahi kuwaza kugombea udiwani
Aligombea Udiwani sababu ana IQ ndogo hana clout ya kugombea Ubunge,full stop!
Mengine sijui aliamua and blah blah ni nonsense tupu!
Alikuwa ni candidate sahihi wa kinondoni mwaka 2015 lakini CUF wakalalamika ndio ikabidi aachiwe Mtulia
Aliachwa sababu hana akili wala hana mtaji kisiasa zaidi ya Mtulia.
Eti "walilia" awaachia,peleka sababu ya kitoto huko!
Iliangaliwa yeye na Mtulia,Mtulia kamzido vitu vingi ndio maana kaachwa hana lolote compared to him!
Lakini kwa usaliti uleule wa viongozi aliousema wakamsaliti wakampa Boniface (my class mate) na kwasababu alikuwa mgeni kwenye chama na aliuamini uwezo wa Boniface, alikubali na akamsapoti
Boniface ana power zaidi ya hiyo takataka mara elfu moja,not even close!
Futa hiyo mbuzi irudi kwenye mediocre leagues,he has nothing,IQ wala lolote...saw him talking garbages tupu!
Kuna watu ndani ya chadema wanahisi wao ndio chadema na chadema ni wao hivyo hawako tayari kuona mwingine anakua zaidi yao
Chadema kuna meritocracy,huna akili za kutosha hupati lolote,mimi nimekuja leo nina akili nyingi na uwezo mkubwa zaidi yako wewe mbumbumbu napanda zaidi yako,unalialia nenda huko CCM....
Mtu wako ni kilaza,deal with it...
Ubungo na Kinandoni vilipogawanywa, akagombea umeya wa kinondoni lakini chama hakikumpa sapoti stahiki hadi CCM wakaweza kuiba kura (usaliti wa viongozi) na hata mahakamani walienda kutimiza wajibu tu
Aende anakoenda,who cares about him?
Hana akili,IQ yake ya siasa ni ndogo,nimemuona akiongea makande matupu...
Kifupi baadhi ya waliokuzwa na Mbowe hawahangaiki kuibua vipaji badala yake wanahangaika kutafuta mashabiki wa kuwapigia makofi na kutukana wanaowakosoa. Wanaogopa kuibua vipaji kwasababu wanaogopa kupewa challenge. Kutwa kucha wanahangaika kutengeneza mashabaki mwisho wa siku chama kitakosa wajenga hoja na yatakuwa yale yale ya ndioooo ambayo tunayaona CCM
Huna akili ya kumfundisha Mbowe chochote!
Ungekua na akili sana zaidi ya Mbowe ungekua na Chama Cha Siasa chenye power zaidi ya CDM,huna lolote umekaa kibarazani kama mimi tunapoteza muda tu!
Keep huo ushauri for yourself and your fellow dummies who have nothing...Mbowe has done something,you cant take that away from him!
Thats why the whole administration is fearing him!
Muro who?