LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
Naona kawahi mzigo Wa nccr zile 800 ml...kinachoshangaza kila anayetoka lazima amwage lawama kwa mbowe
Mpaka huo uchafu umalizike kujichuja cdm inatabaki na mwenyekiti tu atakuwa mrema wa pili
Muro si mtu wa njaa njaa kama unavyojaribu kufikiri. Ni aina ya watu wanaoridhika na walichonacho na aina ya watu wanaotafuta "self esteem" wala sio ulaji.Matumbo njaa wanahama vyama as if ni issue yetu sisi..
We got nothing to do with you sissies!
Sijui Mbowe even know the name of this lunatic?
Tatizo ni pale Kodi yako na ya mama yako inapotumika kununulia madiwani wewe punga 1 unafurahia huku JFMbowe anazidi kubamizwa.


Mbowe ni Mwenyekiti lawama zote lazima ziende kwake. Hana namna ndio nature ilivyoNaona kawahi mzigo Wa nccr zile 800 ml...kinachoshangaza kila anayetoka lazima amwage lawama kwa mbowe
Muro si mtu wa kununuliwa, pitia hoja zake utamuelewa na kama humfahamu jitahidi umfahamuTatizo ni pale Kodi yako na ya mama yako inapotumika kununulia madiwani wewe punga 1 unafurahia huku JF
Taifa la![]()
Ana njaa ya pesaMuro si mtu wa njaa njaa kama unavyojaribu kufikiri. Ni aina ya watu wanaoridhika na walichonacho na aina ya watu wanaotafuta "self esteem" wala sio ulaji.
Hayo ni maoni yakoMuro si mtu wa kununuliwa, pitia hoja zake utamuelewa na kama humfahamu jitahidi umfahamu
Who is the f****** mbowe? He is just a little rat eating Sacco's cheese!!Ana njaa ya pesa
Ana njaa ya siasa za bure
Ana njaa ya mteremko
Ana njaa ya kujulikana
Asingekua na njaa asingeenda kwenye siasa to begin with....Asingekua na njaa asingegombea "Udiwani" angegombea minimum "Ubunge".
Ana njaa ya kila kitu,masikini wa mawazo,itikadi,kipesa na kiakili,kifikra na kila kitu..
Kusimama hapa na kusema hana njaa,unadanganya watu wazima,asingekua na njaa asingefanya sarakasi za kipumbavu hivi!
Mbowe do not know him,he was too much of a small player like sisimizi to be known na mtu mkubwa kama Mbowe!
Diwani,who the fvck is Diwani?
Kulikua na Dr Slaa,sio hiyo njaa hadi matakoni...hana lolote...mwanaume kama binti!
Mbowe anazidi kubamizwa.
Wewe ni aina ya kina mdude tu! Humfahamu mtu unayemsemaAna njaa ya pesa
Ana njaa ya siasa za bure
Ana njaa ya mteremko
Ana njaa ya kujulikana
Asingekua na njaa asingeenda kwenye siasa to begin with....Asingekua na njaa asingegombea "Udiwani" angegombea minimum "Ubunge".
Ana njaa ya kila kitu,masikini wa mawazo,itikadi,kipesa na kiakili,kifikra na kila kitu..
Kusimama hapa na kusema hana njaa,unadanganya watu wazima,asingekua na njaa asingefanya sarakasi za kipumbavu hivi!
Mbowe do not know him,he was too much of a small player like sisimizi to be known na mtu mkubwa kama Mbowe!
Diwani,who the fvck is Diwani?
Kulikua na Dr Slaa,sio hiyo njaa hadi matakoni...hana lolote...mwanaume kama binti!
Ni kweli ni maoni yangu lakini ni maoni yenye uhalisiaHayo ni maoni yako
Umesikiliza hoja zake na ukaona hawezi kujieleza? Ni sehemu gani haijaeleweka. ItajeYani wewe mleta uzi unazo element zote za uchawi na isitoshe hata familia unayotokea ni ya kifukara sana na ndo maana unafurahia anguko la mwenzio nakuwa na mawazo ya kupumbavu. Diwani wenyewe huyo hawezi hata kujieleza sijui hata kwa nini wananchi walimchagua!
Nakukatalia, Muro si mchumia tumbo. Jipe homework ya kumfahamu kabla hujasemaWachumia tumbo tu hao.
Hivi 2025 baada ya Jiwe kuondoka hawa jamaa watakimbilia wapi? Typical Africans, we do not think and see beyond ......!!
Ameelewekahuweleweki.