PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
mamba ana nguvu kwenye maji, MWAMBIE AENDE ARUSHA, DR.SLAA AMEENDA KIGOMA NA KAFANYA MIKUTANO KAJAZA WATU NA YUPO UGENINI WAKATI ISSUE YA KUTIMULIWA ZITO IPO NA TENSION KUBWA,

WW BORA UENDELEE KUUZA NGADA TU!!!!



Kwi kwi kwi teh teh teh
 
Join Date : 19th December 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received44
Likes Given0
 
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha
Zitto ni zaidi ya Chadema
.
Kama ingekuwa hivyo basi asingeng'ania kubaki Chadema.
Na ilikuwaje akazidiwa kura na Dr Slaa jimboni kwake.
 
Comment zingine zinaonyesha jinsi gani alie Comment alivyo mpuuzi. Ivi kuna mwenye hela anaeweza kuukodi umati woté huu? CDM wenzangu Pamoja na chuki zetu kwa kijana huyu lakini kiualisia hatumuwezi. Zitto nizadi ya Chama.
Kitoabu imenitukana mbona unanitafutia ban kilazima nikijibu mapigo??
 
Last edited by a moderator:
I am not a politician< I am simply a semi retired potato coach, enjoying my days in front of digital my toys. It makes no difference to me who at chadema is other than simply criticizing and advising those who go astray, like Mohamedi Mtoi and that's beside me being a big fan of President Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete.

Potato Couch,No wonder you do what you do!!
 
Hayo mapokezi makubwa ni kwasababu gani? Hiyo ziara ipo kwenye ratiba za chama? Anapokelewa kama nani?

Ndio haya wengine tunapata shida kweli na huyo Zitto.Mashindano tu yasiyo na tija! Kwani Zitto huwa haendi Kigoma hadi leo apate mapokezi tofauti?

Yaani nini tija ya ziara ya Zitto huko Kigoma kwa Chadema maana hata Slaa hajipangii tu ziara za chama na zinatangazwa rasmi kwa taarifa kutoka kurugenzi ya habari.
Haya maana najua wengine mna mapenzi tuuuuu na huyu kijana.

hujielewi au huenda mapenzi yamekutia upofu,,,haikuwa ziara ya kichama na ndio maana hata jukwaa lilipambwa kwa rangi za taifa, na watu walikatazwa kuvaa nembo ya chama chochote ikiwemo na ya chadema, hii ni ziara yke kama mbunge, mzawa na kama mtanzania mwenye asili ya kigoma, kwa hivyo kwa ziara hiyo haikutakiwa kuratibiwa na chama.
 
Kama yale ndo mapokezi ya kihistoria basi kigoma ni watu mbumbumb sana...ndo maana kumbe mmesahaulika kwa kuwa akili zenu zinawaza kuvua dagaa na migebuka tu
 
Source Jambo leo

Najiuliza hivi kulingana na chanzo hicho cha ccm kujinadi na kusema kuwa Zitto kaimaliza CHADEMA.

Na limerndelea kusema kuwa kwenda kwake jimboni Kigoma mbunge huyo ameenda kuwachanachana viongozi wake wa juu baada ya kuvuliwa madaraka ya chama.

Najiuliza kama Zitto alienda kuiua CHADEMA Kigoma sasa Zitto ni mwanachadema au CCM?
 
Jambo leo ni gazeti la makada wa ccm kwahiyo kengo lao linafahamika. Leta source toka kwenye magazeti yanayofahamika acha kuwa limbukeni au na wewe umetumwa kupost none sens. Magazet yote umeona gazet lakusoma ni jambo leo? Acha kujishushia hadhi mkuu. Kwa akili yako unaweza kununua hilo gazeti ukasomea mbele za watu kweli?
 
Kiukweli nchi hii sioni mtu wa kweli wa kutaka mabadiliko ili watanzania wote kwa nafasi zao wapate huduma zote wanazostahili... si Mbowe wala Slaa ni unafiki mtupu tena hawa ndo hawana afadhali. iko wazi labda kama mnaendeshwa kwa mapenzi binafsi na si kuangalia uhalisia
 
hawana kazi ya kufanya mwambieni aache usaliti na aombe msamaha watanzania wote.
 
hawana kazi ya kufanya mwambieni aache usaliti na aombe msamaha watanzania wote.

There are some of us who doesn't see him as a betrayer.you may reconsider your request by removing the sentences " all Tanzanians"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom