PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Zitto c ndio bwana mm, na aishie tu chadema ni chama cha watanzania cio cha wasaliti km huyu.
 
Pole Ritz nakuonea huruma sanakujifanya Shule ulienda japohujui tofauti ya kifo na usingizi dr w.slaa2015 mtamfananisha zaidi
 
Ninampenda Zitto na namheshimu Zitto. Ni mwanasiasa kijana,shupavu na mwenye akili nyingi. Ni kiungo muhimu sana katika kuiwezesha Chadema kuchukua dola 2015. Zitto anapokaa chumbani peke yake huku mlango ukiwa umefungwa vizuri naamini huwa anawaza mengi kuhusu yeye binafsi, familia yake, jimbo na taifa lake kwa ujumla.
Kwa kuwa ninaamini kuwa kuna mchango mkubwa wa Zitto katika CHADEMA ya leo yenye mafanikio,ninamwomba akae peke yake siku moja kwenye chumba na azungumze na moyo wake kuhusu tuhuma za usaliti anazotuhumiwa na nia yake ya demokrasia ya kweli anayoipigania. Kama atapata jibu kutoka moyoni mwake kuwa hajawahi kuisaliti Chadema basi ASIMAMIE KILE ANACHOKIMINI KUHUSU DEMOKRASIA MPAKA MAUTI YAKE HUKU AKIZINGATIA MASLAHI YA TAIFA NA CHADEMA. Na kama atapata jibu kuwa amewahi kuisaliti Chadema basi na ATUBU KWA MUNGU WAKE, na AITISHE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA POPOTE PALE NA AWAAMBIE WANANCHI WAENDELEE KUIUNGA MKONO CHADEMA NA AWE MSTARI WA MBELE KATIKA SHUGHULI ZOTE NDANI YA CHADEMA NA AENDELEE KUTUMIA UWEZO WAKE WOTE WA KIUSHAWISHI KUIJENGA CHADEMA.
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.


mamba ana nguvu kwenye maji, MWAMBIE AENDE ARUSHA, DR.SLAA AMEENDA KIGOMA NA KAFANYA MIKUTANO KAJAZA WATU NA YUPO UGENINI WAKATI ISSUE YA KUTIMULIWA ZITO IPO NA TENSION KUBWA,

WW BORA UENDELEE KUUZA NGADA TU!!!!
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

Mganga njaa wewe Ben Saanane kwasababu wewe umekodiwa na kupewa viposho vya kuishi hapo mjini unafikiri kila mtu amekodiwa? wananchi wa Kigoma wanakuonyesha demokrasia ya kweli; yule mzinifu wenu alikuwepo huko kwanini msimkodie si uliona alivyopwaya??? Njaaa itakumaliza hiyo kamuni ya kukodisha wewe ndio CEO wake???? Kaka tafuta kazi angalau ukizeeka upate malipo ya uzeeni hata kama kiduchu yakufaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Dr.W.Slaa
Umeiona Kigoma??????? Limekushuka mwaka huu eti uhai chama; lahaula umewaona wenye mji na mtu wao??? hata haya hamna mmejifungasha na majanaba yenu eti kwenda kuimarisha uhai wa chama; jifundisheni kuoga janaba ndio kwenye miji ya watu; Kigoma mji wa wasafi kiamaadili!
 
Last edited by a moderator:
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

Ben umenikumbusha kipindi kile cha mapokez ya mzee monduli "Lowassa" gari mia mbil za kumpokea aliyejiuzuru kwa tuhuma za ufisadi." Watanzania ni zaid ya uwajuavyo..!?
 
Ben umenikumbusha kipindi kile cha mapokez ya mzee monduli "Lowassa" gari mia mbil za kumpokea aliyejiuzuru kwa tuhuma za ufisadi." Watanzania ni zaid ya uwajuavyo..!?
Kwa hiyo,hata hayo mapicha ya kibabu mliokuwa mnatuwekea haiwi chochote!
 
Siyo kufukuzwa tu.
Apigwe kwanza kisha afukuzwe halafu ua kabisa.
Hana faida yeyote.
Na wale wanaomshabikia nao piga ua.
Na yeyote anayejifanya kujuaju au kuutaka uenyekiti wa CHADEMA piga, piga piga galagaza kisha ua.Pia wapambe wake piga kabisa halafu nyongelea mbali.
Chama kinawenyewe na wenyewe ndo wenyewe chama.
Ha ha ha! kweli chama kina wenyewe!
 
mamba ana nguvu kwenye maji, MWAMBIE AENDE ARUSHA, DR.SLAA AMEENDA KIGOMA NA KAFANYA MIKUTANO KAJAZA WATU NA YUPO UGENINI WAKATI ISSUE YA KUTIMULIWA ZITO IPO NA TENSION KUBWA,

WW BORA UENDELEE KUUZA NGADA TU!!!!
Chama chenu kimbe kinapatikana sana sana Arusha ee!
 
Ninampenda Zitto na namheshimu Zitto. Ni mwanasiasa kijana,shupavu na mwenye akili nyingi. Ni kiungo muhimu sana katika kuiwezesha Chadema kuchukua dola 2015. Zitto anapokaa chumbani peke yake huku mlango ukiwa umefungwa vizuri naamini huwa anawaza mengi kuhusu yeye binafsi, familia yake, jimbo na taifa lake kwa ujumla.
Kwa kuwa ninaamini kuwa kuna mchango mkubwa wa Zitto katika CHADEMA ya leo yenye mafanikio,ninamwomba akae peke yake siku moja kwenye chumba na azungumze na moyo wake kuhusu tuhuma za usaliti anazotuhumiwa na nia yake ya demokrasia ya kweli anayoipigania. Kama atapata jibu kutoka moyoni mwake kuwa hajawahi kuisaliti Chadema basi ASIMAMIE KILE ANACHOKIMINI KUHUSU DEMOKRASIA MPAKA MAUTI YAKE HUKU AKIZINGATIA MASLAHI YA TAIFA NA CHADEMA. Na kama atapata jibu kuwa amewahi kuisaliti Chadema basi na ATUBU KWA MUNGU WAKE, na AITISHE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA POPOTE PALE NA AWAAMBIE WANANCHI WAENDELEE KUIUNGA MKONO CHADEMA NA AWE MSTARI WA MBELE KATIKA SHUGHULI ZOTE NDANI YA CHADEMA NA AENDELEE KUTUMIA UWEZO WAKE WOTE WA KIUSHAWISHI KUIJENGA CHADEMA.
Hivi kumbe kuwania uenyekiti ndio kuisaliti Chadema! Nimejua sasa.
 
Siyo kufukuzwa tu.
Apigwe kwanza kisha afukuzwe halafu ua kabisa.
Hana faida yeyote.
Na wale wanaomshabikia nao piga ua.
Na yeyote anayejifanya kujuaju au kuutaka uenyekiti wa CHADEMA piga, piga piga galagaza kisha ua.Pia wapambe wake piga kabisa halafu nyongelea mbali.
Chama kinawenyewe na wenyewe ndo wenyewe chama.

Hii jazba inatoka wapi mkuu?? Wakati wenzio wakimaliza kuigiza siasa wanakaa chini na kupiga story pamoja na kuteta vizuri...
Tubadilikeni...
We okoa nguvu yako ..mpe kura EL 2015 uone maisha matam...
 
Mwenye macho haambiwi tazama.
Hapa haihitaji digrii kuelewa huo umati uliofurika.
 
Ivi wale wachumia tumbo leo wapo wapi nikianzia na ben?
Ben Saanane unadhani atakuja na lipi jukwaa limwelewe?
Hata aje darasa la saba failure hatoshindwa kung'amua UONGO na UKWELI uliodhihirishwa, ila ben anaroho mbaya sana iliyojaa chuki. Hata kwenye ukweli yeye ni chuki tupu.
Wewe Ben Saanane Love for all, hatred for none. Jielewe kijana.
 
Last edited by a moderator:
Yaani Kumbe Chadema sio ya wachaga, KIGOMA mmedhihirisha...Zito we nomaa..
 
Hivi kwa nini kwenye kila mazungumzo yanayohusu CHADEMA lakima na CCM anazungumziwa? Hamuoni kuwa mnawapa umaarufu CCM/
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom