PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Ni pigo kubwa kwa Dr.Slaa, Mbowe, Lema, Mtei, na wafuasi wao ziara ya Dr.Slaa ya Dr.Slaa Kigoma inaonekana aina umuhimu wowote, imedhihirisha Zitto ni zaidi ya Chadema.

Sasa ww mbulula mbona hueleweki, chupi ya Chadema waivaa ya nini lazima itakuingia kwenye mfereji wa matakoni?
 
Mbona walikataa bendera zote isipokuwa ua taifa, imekuaje tena apitie ofisi za mkoa na picha zingine anapunga mkono hewan kwa kuonyesha nembo ya chadema, ama nimekubali Zitto ni baba lao kwa UNAFIKI
 
msaada kutoka ccm , sio wanachama wa chadema hao na hapo wanamhadaa ajione kichwa azidi kuboronga kwenye chama chake na habari kutoka idara nyeti ccm ya ccm wanasema hawata mpokea akifukuzwa chadema so jipime mkuu watakupoteza kabisa kwenye siasa kama huamini endelea kutumika.
 
Ben Saanane unadhani atakuja na lipi jukwaa limwelewe?
Hata aje darasa la saba failure hatoshindwa kung'amua UONGO na UKWELI uliodhihirishwa, ila ben anaroho mbaya sana iliyojaa chuki. Hata kwenye ukweli yeye ni chuki tupu.
Wewe Ben Saanane Love for all, hatred for none. Jielewe kijana.
Mpevu
Kaka unaujua ule usemi wasio haya wana mji wao?? Ben Saanane ni mzuraraji hana kazi; njaa inamsumbua asipoingia jamvini atakula wapi??? hayupo hapa kutetea watanzania au demokrasia yupo kwa kutetea njaa zake wapo wengi sana angalia sana haya majina Mohamedi Mtoi; Molemo; Matola: Mikael P Aweda a.k.a Phillemon Mikael; Mwita Maranya hilo kundi wapo tayari kufulishwa chupi kwa njaa zao!
 
Last edited by a moderator:
Sasa ww mbulula mbona hueleweki, chupi ya Chadema waivaa ya nini lazima itakuingia kwenye mfereji wa matakoni?
Kamanda vipi tena kulikoni unaporomosha matusi wewe tukana mpaka uchoke wala mimi sina tatizo, lete matusi mapya kamanda haya mbona ya zamani sana.
 
Mbona walikataa bendera zote isipokuwa ua taifa, imekuaje tena apitie ofisi za mkoa na picha zingine anapunga mkono hewan kwa kuonyesha nembo ya chadema, ama nimekubali Zitto ni baba lao kwa UNAFIKI

Alama ya "V" siyo alama ya chadema.
 
siku hizi wana chadema wamekuwa wapole wanaruhusu mpaka nguo za kijani kwenye mikutano yao...
 
Kuelezea hisia zao kwa vitendo si uhamnazo,
Umasikini siyo mwonekano wa nje bali ni hali ya kushindwa kutumia resources in full capacity.
Kuna watu ambao ni matajiri kwa sababu utajiri wao unatokana na mwendelezo wa walio wengi kuto tumia resources zao kikamilifu. Aidha umasikini ni matokeo ya juu kabisa ya mlundikano wa mambo mengi yaliyohasi kwa jamii nzima ya binadamu.
Mambo ya kiimani.
mambo ya kijamii
Mambo ya kisayansi na kiteknolojia
mambo ya kisiasa na kiuchumi
na zaidi mambo ya mtu binafsi.

Adui wa waTanzania siyo CCM wala wana CCM bali ni personal ignorance zetu na inability to control SELF

No one, apart from us, needs to change in order for everything to take the right course. We the Down Trodden individuals in our individuality need to change and mostly change our views and our perceptions in order to lift ourselves to the higher vibrations and well-being.

CCM elites are just taking advantages of our IGNORANCE to pin us down, if possible forever. The time we will wake up from our long time slumber and regain our awareness we will clearly know our potentials and powers. Technically,the one you call enemy(CCM) will melt in the heat of his own BLUNDERS and TERROR.

hawa wananchi hamnazo kweli,yani wamesahau kuwa adui ni ccm?Halafu umasikini ulivyobobea!
 
Kuelezea hisia zao kwa vitendo si uhamnazo,
Umasikini siyo mwonekano wa nje bali ni hali ya kushindwa kutumia resources in full capacity.
Kuna watu ambao ni matajiri kwa sababu utajiri wao unatokana na mwendelezo wa walio wengi kuto tumia resources zao kikamilifu. Aidha umasikini ni matokeo ya juu kabisa ya mlundikano wa mambo mengi yaliyohasi kwa jamii nzima ya binadamu.
Mambo ya kiimani.
mambo ya kijamii
Mambo ya kisayansi na kiteknolojia
mambo ya kisiasa na kiuchumi
na zaidi mambo ya mtu binafsi.

Adui wa waTanzania siyo CCM wala wana CCM bali ni personal ignorance zetu na inability to control SELF

No one, apart from us, needs to change in order for everything to take the right course. We the Down Trodden individuals in our individuality need to change and mostly change our views and our perceptions in order to lift ourselves to the higher vibrations and well-being.

CCM elites are just taking advantages of our IGNORANCE to pin us down, if possible forever. The time we will wake up from our long time slumber and regain our awareness we will clearly know our potentials and powers. Technically,the one you call enemy(CCM) will melt in the heat of his own BLUNDERS and TERROR.
Leadership is accountable,usiwaangushie lawama zote wananchi.Ndo maana kuna kitu inaitwa kubadili uongozi,hayo ni matokeo ya kazi zao.
 
cdm kuna msaliti zaidi ya slaa?kamsaliti hadi muumba wake afu ndo atuongoze?

Zitto ni msaliti platform ya chadema kaisaliti hana shukrani kasahau hata alivyonunuliwa hata nguo za ndani
 
Ni kweli ukiangalia kutoka upande fulani.
Lakini...........
Uongozi siku zote ni mzao wa maamuzi ya wananchi.
Sisi hatuna Mfalme.
Viongozi wote ni wa kuchaguliwa na sasa hivi tuna zaidi ya chama kimoja kwa hiyo si rahisi kuletewa watu tusiowataka ili tuchague mmoja awe kiongozi wetu.
Mabadiliko ya uongozi siku zote huanzia kwa wananchi wenyewe.
Sisi wananchi ndiyo engine ya V12 behind any Force of change.
Rais anapobadili baraza la mawaziri siku zote huchagua mawaziri miongoni mwa wale waliochaguliwa na wananchi. rais anaweza kuleta tofauti fulani kwa kufanya hivyo. Lakini mabadiliko ya kweli ni lazima wananchi wawemo.
Mwisho wa siku tunalaumu aliyetoa rushwa ili wamchague awe kiongozi? Ukweli upo pale pale kwamba bila wananchi kuamua kukubeba na hiyo rushwa yake hujachaguliwa bado.
Hata wizi wa kura, siku zote hufanyika kwa msaada mkubwa sana wa wananchi wenyewe.
Ndiyo maana nasema tukiamka kutoka kwenye usingizi wetu mnono na kugundua kwamba nguvu na uwezo wetu ulivyomkubwa. Hao wenye nguvu watavia kwenye mashati yao tusiweze kuwatofautisha wao na nyasi za kijani.

.
Leadership is accountable,usiwaangushie lawama zote wananchi.Ndo maana kuna kitu inaitwa kubadili uongozi,hayo ni matokeo ya kazi zao.
 
Ndio imezizima kwa watu hao? Umelipwa sh ngapi?

Mkuu King Kong III naona unazeeka vibaya na kupoteza uwezo wako wa kuona na kutambua mambo! Kwa mji wa Kigoma hapo huenda shughuli karibu zote zimesimama mjini halafu unauliza watu hao! Katibu Mkuu hakupata hata thuluthi ya hawa!

Mkiambiwa kwa Kigoma Zitto ndio CHADEMA mnabisha, haya oneni wenyewe kwa macho yenu.
Tema Mate tuhakikishie kwamba hizi picha si za mwaka 2010 manake tumeshuhudia zikiwekwa humu za miaka ya nyumba na kutaka kutuaminisha kwamba ni za ziara za karibuni.
 
Last edited by a moderator:
Zitto ni msaliti platform ya chadema kaisaliti hana shukrani kasahau hata alivyonunuliwa hata nguo za ndani
usiongee vitu vya kusadikika,ongea vinavyoonekana,,,,
usidhani kila aongealo slaa,mbowe,tundu lisu ni sahihi!!!!
afu usiwe mshabiki wa kubomoa,Tazama Tanzania Kwanza
 
usiongee vitu vya kusadikika,ongea vinavyoonekana,,,,
usidhani kila aongealo slaa,mbowe,tundu lisu ni sahihi!!!!
afu usiwe mshabiki wa kubomoa,Tazama Tanzania Kwanza

MMH sijaelewa zitto mwongo msaliti anadharau platform iliyompaisha, na mtu wa aina anaangukia pua kama yeye alivyoanguka anabomoa akisahau Tanzania Kwanza amehongwa kuangamiza utanzania na MACCM
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom