PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Sasa Mapokezi ya Kitaifa yanapokelewa Vipi Ofisi ya CHADEMA ?
Si angepokelewa Ofisi ya Kitaifa ?
Ofisi gani ya chadema kapita ambayo haijapigwa picha inasemwa kama tunavyoona magari 15 wanasema mia, wananchi miatano pikipiki 17 wanasema maelfu moderators wa safari they are trying to fool themselves watu wanajua kusoma pichaa bwana balaa maskini zitto mwisho wake ni mbaya kuliko akina Hamadi Rashid na Kafulila walio amua kufanya busara baada ya kupapatika chini ya siku thelathin, his deed have now been taken by events , kufukuzwa mawaziri,ugomvi wa daftari la wapiga kura, Bunge la Katiba ana mkosi kweli maskini
 
kuna msukule unaoitwa ben saanane, huyu jamaa ukitoa jf hakuna mtu anaemfahamu, hiyo jeuri ya kushindana na zito sijui anaitoa wapi
 
tazama hizo picha utajua nani ana habari na Zitto....isitoshe yeye ni mbunge wa kigoma siyo moshi wala arusha, ni wazi waliomchagua wana habari na Zitto.

sasa unachokisema hapa wala sikielewi......kigoma ni sehemu ndogo sana......tanzania yote hii haiwezi kuzizima eti kisa zitto kapokelewa na wapiga kura wake...
 
kuna msukule unaoitwa ben saanane, huyu jamaa ukitoa jf hakuna mtu anaemfahamu, hiyo jeuri ya kushindana na zito sijui anaitoa wapi
Yeye Zitto wapi anakofahamika bila chadema achene kukweza watu ambao tayari wako kwenye masanduku wanazikwa kisiasa
 
Lazima waambiwe Mandela alikataa vipande thelathini ili awaasi wananchi wake na kuwasaliti ,makaburu walimbembeleza mara chungu nzima wakimuahidi kumnunulia nyumba za mabilioni uingereza marekani lakini aondoke nchini na asiende kufanya siasa alisema atafia jela, sasa huyu ndumila kuwili msaliti kuonyeshwa tuu briefcase lekundu lenye milioni 250 akalegea akapoteza nguvu zake na kipaji chake cha ushawishi akaisha akawa mlenda, Lema wa Arusha anasema KIkwete alimwita akamwambia agombee Arusha kuptia CCM ,ubunge atapata na kila kitu atapewa alikataa na kiboko cha kumkatalia mkuu wa nchi alikipata.Zitto kaingizwa kingi ni mtumishi mtukuka wa CCM na TISS leo awe Mandela duh kweli misukule ya CCM kigoma wameishiwa

halafu si hayo tu
huyu jamaa ZZK hata hapa jamvini aliwahi kuongea sana juu
Ya vitisho na kauli zisizokuwa na busara kabisa!!

nani aliyetisha watu kuwa anaweza kuua hadi panya walioko ndani kwa
mtu?
si huyu huyu mpuuzi na kauli zake za kichawi hapa jamvini?
tena hapa hapa JF, halafu leo matahira ya huko kigoma
tena hata shule hayaijui yanakuja kumfananisha huyu gamba kunuka na Mandela.
They are all ------...
 
sasa unachokisema hapa wala sikielewi......kigoma ni sehemu ndogo sana......tanzania yote hii haiwezi kuzizima eti kisa zitto kapokelewa na wapiga kura wake...

Mbona babu alivyokuwa Kigoma zile picha ulikuwa husemi haya au mkuki kwa kitimoto?
 
Binafsi naamini kabisa kila kitu huongozwa kwa kufuata kanuni na miiko iliyowekwa ktk kukifanya kitu hicho kiwepo, kama ilivyo kwenye familia sasa jifunzeni kusoma katiba inayokiongoza chama cha chadema vizuri ili mnapokuwa mnazungumza/ kuandika/ kuchangia muwe name uelewa mpana wa kujua ktk mambo mbayoyashabikia
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.

wahuni wa cccccm
 
Njaa tupu. Sasa watafanya ninu akifukuzwa? Kukosa shule ni najanga. Eti kama Mandela
Nyie Waha mnakufuru . Mnamlinganisha Mandela na huyo ---- msaliti? mkafie mbali na huyu ganda.
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.

wahuni wa cccccm
 
Sasa hapo kuna ajabu gani ya mapokezi endapo mbunge zitto amekwenda jimboni kwake? Au mmesahu mrema alivyokuwa na wafuasi wengi kila alihama alihama nao? Sasa mrema kachoka kachakaa na siwaoni tena wafuasi wake. Mwisho wa siku zitto atakuwa mdogo kama priton 2
 
Haina shida tutaona mpambano huu yupi atakayekuwa bingwa,kati ya TAASISI(CDM) Vs Zitto japo najua tayari who will be losser ambaye ni Zitto. Huyu jamaa ni jeuri na kiburi oriented sijapata kuonamo. Any we will see.
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

wewe Ben Saanane unasikitisha sana kwa Phobia yako uliyonayo kuhusu Zitto. Imani yako kuwa ili CHADEMA iwe chama kikuu cha upinzani basi kila mwana CHADEMA afanane kimtazamo ni kielelezo tosha kuwa ufahamu wako kuhusu Democrasia unatia mashaka, Kuamini kwako kuwa ili Maamuzi ya Chama na busara za mwenyekiti zinahitaji kuchunguzana kama KGB zinaonesha kuwa ingawa wewe ni kijana mtazamo wako hauna tofauti na babu yetu kingunge na cold war politcs.

CHADEMA hamumhitaji ZITTO kukubaliana na MBOWE kwa kila jambo ili muweze kukubalika kwa wananchi, ingawa sikubaliani na lugha ya kejeli iliyotumia "kama haukuwa edited kuyaongeza-kama mwandishi Mkumbo alivyosema". waraka ule was simply political ambitions za wahusika. Nyie vichwamaji wa chadema mmekuwa so "Hot Headed" mkakurupuka na kuusambaza kwenye Media. hilo lilikuwa kosa kubwa sana. Pale hamkujenga.waliyoyaandika kina Kitila Hayana Tofauti na mipango mnayopanga Chadema Kila siku ili kuiondoa CCM madarakani,sio Uhaini,sio Usaliti ni USHINDANI.

Inasikitisha kuona chama chenye neno DEMOKRASIA hakielewi "building block" ya demokrasia, kina Hillary Clinton walimpa Obama all sorts of names,lakini wakafanya naye kazi baada ya kuwa nominated. hivi mnaamini kabisa kuwa hawakuwa na "some sorts of" mpango mkakakti kama huu wa Zitto?

Kwa sisi tusio Tanzania na Tusioshiriki kwenye siasa za nchi yetu "on the ground" hali hii inasikitisha. Chadema Mlianza vizuri, bahati mbaya mmekuwa "paranoid" na mmelewa sifa mapema mno.kwa yanayoendelea sasa hivi Chadema inaonesha mkichukua nchi mtakuwa "more of the same".

Rudini kwenye Mstari wa kutafuta mageuzi kwa njia ya demokrasia,sio kufukunyua wasaliti kila siku ya mwaka. Nakuhurumia, kama kazi waliyokupa ni hiyo ya kufukunyua wasaliti."energy" unazaozitumia ungezitumia kufukunyua hija za kusaidia watanzania lingekuwa jambo la busara zaidi.

Ni jambo lililo la wazi kuwa Zitto ni "house hold" name Tanzania, kama walivyo Slaa,Mbowe,Kikwete,Chenge, Karamagi na Rostam,kila mtanzania anawafahamu kwa mabaya au mazuri. mashindano yako na Zitto kwenye kila hoja inayoletwa JF inaonesha kutaki kukubaliana na ukweli huo. mambo mengine ni busara kukaa kimya.
 
Huo ndio umati ambao labda ulimpokea Nyerere? Basi wana Kigoma hawajui mapokezi. Kama kulikuwa na pikipiki 240 lakini umati ndio ukawa huo ni wazi kuwa hayo mapokezi yalipangwa na kuratibiwa lakini si kweli kwamba wananchi wa Kigoma wanachukulia kwa uzito huo ujio wa Zitto.
Tukirejea kwa hoja zake nadhani ingekua jambo la busara kukaa kimya kusubiri rufaa yake badala ya kujitetea kwenye hadhira. Hiyo iende pia kwa viongozi wote wa CDM waache kuongelea sakata la Zito na wenzake kwenye mikutano na vyombo vya habari.
 
Kweli tutaendelea !!! . Hawa watu wa Kigoma huu mwezi hawafanyi kaz, wao ni kukusanyika kwa maelfu kupokea wanasiasa - ambao wengi wao ni porojo tu hawana record ya ufanisi au kuleta maendeleo - na hapa nazungumzia vyama vyote vya siasa simlengi Zito au mwengine !! Huu umati wote ungekua unachapa kazi ya maana kama kufyatua matofali yawajijengee nyumba za wastani au kusafisha mji wao si ingekua ni faida kubwa kuliko kusimama barabarani kupoteza mda. Watanzania jiaepusheni na hawa wanasiasa
 
wewe Ben Saanane unasikitisha sana kwa Phobia yako uliyonayo kuhusu Zitto. Imani yako kuwa ili CHADEMA iwe chama kikuu cha upinzani basi kila mwana CHADEMA afanane kimtazamo ni kielelezo tosha kuwa ufahamu wako kuhusu Democrasia unatia mashaka, Kuamini kwako kuwa ili Maamuzi ya Chama na busara za mwenyekiti zinahitaji kuchunguzana kama KGB zinaonesha kuwa ingawa wewe ni kijana mtazamo wako hauna tofauti na babu yetu kingunge na cold war politcs.

CHADEMA hamumhitaji ZITTO kukubaliana na MBOWE kwa kila jambo ili muweze kukubalika kwa wananchi, ingawa sikubaliani na lugha ya kejeli iliyotumia "kama haukuwa edited kuyaongeza-kama mwandishi Mkumbo alivyosema". waraka ule was simply political ambitions za wahusika. Nyie vichwamaji wa chadema mmekuwa so "Hot Headed" mkakurupuka na kuusambaza kwenye Media. hilo lilikuwa kosa kubwa sana. Pale hamkujenga.waliyoyaandika kina Kitila Hayana Tofauti na mipango mnayopanga Chadema Kila siku ili kuiondoa CCM madarakani,sio Uhaini,sio Usaliti ni USHINDANI.

Inasikitisha kuona chama chenye neno DEMOKRASIA hakielewi "building block" ya demokrasia, kina Hillary Clinton walimpa Obama all sorts of names,lakini wakafanya naye kazi baada ya kuwa nominated. hivi mnaamini kabisa kuwa hawakuwa na "some sorts of" mpango mkakakti kama huu wa Zitto?

Kwa sisi tusio Tanzania na Tusioshiriki kwenye siasa za nchi yetu "on the ground" hali hii inasikitisha. Chadema Mlianza vizuri, bahati mbaya mmekuwa "paranoid" na mmelewa sifa mapema mno.kwa yanayoendelea sasa hivi Chadema inaonesha mkichukua nchi mtakuwa "more of the same".

Rudini kwenye Mstari wa kutafuta mageuzi kwa njia ya demokrasia,sio kufukunyua wasaliti kila siku ya mwaka. Nakuhurumia, kama kazi waliyokupa ni hiyo ya kufukunyua wasaliti."energy" unazaozitumia ungezitumia kufukunyua hija za kusaidia watanzania lingekuwa jambo la busara zaidi.

Ni jambo lililo la wazi kuwa Zitto ni "house hold" name Tanzania, kama walivyo Slaa,Mbowe,Kikwete,Chenge, Karamagi na Rostam,kila mtanzania anawafahamu kwa mabaya au mazuri. mashindano yako na Zitto kwenye kila hoja inayoletwa JF inaonesha kutaki kukubaliana na ukweli huo. mambo mengine ni busara kukaa kimya.

Jamani Kama una akili tiamamu na mtizamo huru kabisa!! Zittoni mwanasiasa uchwara! anaejaribu kujijenga mwenyewe kwa bidii za kijingga kabisa!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom