Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,178
- 28,827
Waliokuwa wanakutana leo Masasi wanalaumiana pia baada ya kujulishwa kuwa mkakati umevuja , Maria Kikaangoni , yuko Kigoma ......
Mkakati wa vita kuvujishwa ni kiashiria kuwa tayari umeshashindwa vitaMama yangu, duuh Zitto kamfunika Slaa, naamini hakuna wa kumtingisha Zitto chadema, dkt slaa hakufikia hata nusu ya hao watu.
Tehe !tehe! tehe! Nimeipenda hii kamandaMbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa? Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Mtorela!
Kwanza pole maana najua ulikuwa huamini kuwa swahiba wako angeweza kuchukuliwa hatua hasa kupitia maandiko yako kule mtaa wa pili.
Pili, acha kufanya propaganda za kijinga kupitia maandiko yako! Swahiba wako hajazuiwa kukutana na wapiga kura wake na wala hakuna siku baada ya yeye kuvuliwa nyadhifa zake chadema waliyotamka kuwa haruhusiwi kwenda jimboni kuongea na wapiga kura wake. kama una ushahidi wa yeye kuzuia kwenda kigoma uweke hapa. Acha kupotosha!
Yeye akiamua anaweza kufanya mikutano mpaka Lumumba akisubiria stahili yake inayomfaa kwa namna kamati kuu itakavyo amua.
Usema kuwa tuhuma 11 zilisemwa kwenye jimbo lake?! zilisemwa na nani na lini?! tumia usomi wako na exposure uliyoipata kwa kuongea kwa facts usiwe unazomoka tu kama mtu ambaye hajui mlango wa darasa. Hayo mashtaka unayosema yasemwa jimboni kwake niyapi?!
Pole sana, ungekuwa unampenda sana rafiki unge mshauri asi betray coarse. Sikio likesha kufa halisikii tena dawa.
Mkakati umevujishwa makusudi ili kuukwamisha , nimeanzisha thread ili kumsaidia moods wanaunganisha ........
eti zitto kama mandela? kigoma bana
Mkuu,Mama yangu, duuh Zitto kamfunika Slaa, naamini hakuna wa kumtingisha Zitto chadema, dkt slaa hakufikia hata nusu ya hao watu.
Mtu wa watu hahitaji Polisi, wananchi ndio wanamlinda.Mbona hakuna polisi wa kumlinda Zitto?
Mkakati wa vita kuvujishwa ni kiashiria kuwa tayari umeshashindwa vita
Umeiona nguvu yake eeh, this is Zitto I know..Zitto angetumia nguvu kama hizi kuijenga CDM nchi nzima tangia 2010, nadhani tungekuwa tumesonga mbele zaidi...
mbona sioni bendera za chadema