PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.

Sio kweli CHADEMA hawezi Mzuia kiongozi wake asitembelee mkoa wake
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.
Hatuwezi kupima kwahivyo huo ni upuuzi kwani watu wanaweza kwenda kwa lengo la kusikiliza jinsi anavyotetea upuuzi. Tafuta kipimo kingine ukilete hapa JF
 
Zitto ni Jembe, hata watu waliokuja kumpokea ni watu wenye busara zao ambao ndio wapiga kura. Tofauti na wale wahuni wanaompokea Slaa au Mbowe.
 
mbona mapokezi ya karamagi alipoenda bukoba vijijini yalikua makubwa sana?unajua umati kiasi gani ulimpokea chenge?unajua kwa rostam watu hadi wa kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za mwenyekiti wa ccm mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa ccm,mhusika mkuu au kwa chadema kata ya mwandiga?maana kata ya mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

Siku 14 zinaisha lini??
 
Kijana mdogo utakufa kwa presha bure kwa sababu ya Zitto, Zitto ni zaidi mara mia ya wale wasio waaminifu katika familia zao! Na waambie maboss wako kwa Zitto wamechemka labda wajaribu kwa Msigwa!
Cha muhimu ni misingi na sio mfumo.Kuna kile kisa cha Yesu na Baraba(aliyekua mwizi na Mnyang'anyi).Katika eneo lile ambalo misingi haikufuatwa ni nani alipata mashabiki wengi kati ya Yesu na Barabara hadi akafunguliwa Baraba?Je,ukweli ulibadilika?
 
Cha kuchekesha Chadema walikuwa hawataki Zitto aende Kigoma kufanya mkutano sijui walikuwa wanahofia nini.

Hivi inaingia akilini mtu anakwenda jimboni kwako kukutangaza vibaya kwa wapiga kura wako na ndugu zako halafu akae kimya.

Mkutano wa leo ni kipimo cha Dr.Slaa na Zitto nani zaidi.

Halafu kosa kubwa alilofanya Padr Dr Slaa, ni hatua yake ya kwenda Kigoma mara tu baada ya uamuzi wa CC. Dotto atakachofanya ni kufukia mashimo yaliyoachwa wazi na Slaa.
 
Hata waziri mkuu Mstaafu Edward N Lowasa alipojiuzuru kwa kashfa ya Richmond, alipokelewa kama mfalme huko kwao. Hii ni kawaida ya watanzania na haijaanza leo. Hata Pinda akijiuzulu leo atapokelewa kama mfalme huko kwao...si jambo la ajabu. Ni njia mojawapo ya kumfariji mhusika ambao ndiyo ustaarabu wa kawaida!
 
Hivi hao wakina mama wameyaandika hayo mabango wenyewe au wamebebeshwa tu?
 
Mimi sishabikii uhalisia unaoneka wazi hayo maneno yako kawambie hao wanaomsubiri Zitto.

Kweli nimeamini wewe ni shabiki mandazi, CHADEMA ni taasisi tena yenye wanachama kila pembe ya nchi hivyo huwezi ilinganisha na huyo YUDA pamoja na mawakala wake wasiojaa hata kiganja. Mlisema dr hawezi kwenda Kigoma, alivyoenda mkamfanyia fujo lakini kwa vile ni kichwa akaendelea na ziara tena kwa mafanikio makubwa.

Kama MMni zaidi ya CDM kwa nini anang'angania kubaki? Kwa nini asianzishe chama chake mashabiki wake mkamfata huko? ALISHAPOTEZA MWELEKEO HUYO NA SASA ANATAPATAPA TU KABLA YA KUKATA ROHO!
 
Wale walioenda kumsikiliza Dr. Slaa walikwenda kusikiliza nini???!!!! nini
Hatuwezi kupima kwahivyo huo ni u puzi kwani watu wanaweza kwenda kwalengo la kusikiliza jinsi anavyotetea upuuzi. Tafuta kipimo kingine ukilete hapa jf
 
Ndio imezizima kwa watu hao? Umelipwa sh ngapi?
Mkuu, karibu eneo la tukio, kwakweli hata kama ni chuki zetu lakini huyu jamaa hatumuwezi, jamaa anakubalika ile mbaya. Uwanja ume fula ile mbaya. CHADEMA bila Zitto tunajiongopea tu
 
Tatizo tulilonalo hapa Kwetu TZ Ni Elimu ndogo na Uwezo wa Kupata Taarifa zilizo sahihi, Laiti kama Wananchi hao wangekua na Taarifa sahihi juu ya Mbunge wao kuhusu tuhuma zinazomkabili wangehuzunika na kumsubiri kwa Hamu ili wamwulize Kuhusu Tuhuma hizo kwa Nini zimetokea dhidi yake. Ukiona kwa Makini wabeba picha na Mabango hapo juu hata uwezo wao wa kununua Gazeti na Kupata taarifa ni issue bado.
 
..kinachonishangaza ni jinsi watu wanvyoweza kutumiwa bila kuwa na akili timamu na piia watu kujenga mazingira yakujitahidi kuwa waongo ila wanashindwaa kukidhi hilo...ukiangalia hizo picha utaona kabidha kuna vikundi vya watu vimetoka sehemu moja...angalia hao kina mama halafu ngalia na wale vijana pale na pembeni kuna pikipiki nyingi sana na kuna hiace hawa wamebebwa mahali wamepelekwa pale na pia inaonekana kabisa hao kina mama wamebebeshwa hayo mabango.....

Mtela na Mchange wapo huko maorganizer wakuu
 
Tatizo tulilonalo hapa Kwetu TZ Ni Elimu ndogo na Uwezo wa Kupata Taarifa zilizo sahihi,Laiti kama Wananchi hao wangekua na Taarifa sahihi juu ya Mbunge wao kuhusu tuhuma zinazomkabili wangehuzunika na kumsubiri kwa Hamu ili wamwulize Kuhusu Tuhuma hizo kwa Nini zimetokea dhidi yake.Ukiona kwa Makini wabeba picha na Mabango hapo juu hata uwezo wao wa kununua Gazeti na Kupata taarifa ni issue bado.

Na hilo ndilo analotumia Zitto kujijenga... watz bado siamini mtu mwenye akili timamu atakubaliana na aliyofanya Zitto
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Kamanda! Naona unapiga ngumi hewani.
 
Halafu kosa kubwa alilofanya Padr Dr Slaa, ni hatua yake ya kwenda Kigoma mara tu baada ya uamuzi. wa CC. Dotto atakachofanya ni kufukia mashimo yaliyoachwa wazi na Slaa.

Kufukia mashimo Mwandiga? Hivi Tanzania unaifahamu kweli? Wewe mbulumundu kweli! Mwacheni mamluki atapetape na endeleeni kumfariji!
 
Kamanda unajitoa ufahamu?
Jana nilikuwa nakutafuta katika ule uzi wa Kagasheki ulikuwa wapi ndugu yangu? Hasira zote ndo umeamkia Kigoma? Poleni sana mkirudi tukutane ofisini tukajipange upya naona jamaa wanataka tuharibia mkate wetu wa kila siku na siku hizi jamani mbona majanga.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom