Wapendwa, ugonjwa kuingia ni rahisi sana sana lakini kutoka ni muda mrefu sana mpaka mtu akamilike.
Dr. Mwakyembe ((Mungu anampenda sana)) na kwa imani yeye anakiri emepona lakini kwa kuwa bado ni mapema tunasema bado anarejesha hali yake kidogo kidogo na umri wenyewe ni mkubwa kwahiyo tusishangae mwenzetu kumwona bado anapata shida kupanda kwenye Train kwa shida.....,Mungu atamkamilishia uponywaji wake
Amina[/QUOTE
hapo kwenye mabano..hii lugha si huwa inatumika kwa watu waliotutangulia kuelekea kwa baba?
Inatosha kujenga hivi na tatizo linaisha.
Katika suala la miundombinu bado tuna safari ndefu sana kuyakaribia mafanikio. Ee Mungu ibariki Tanzania.
tatizo watu wanapenda sana kula, wanakula mpaka mbegu. pamoja na ubinafsi, hatufikirii vizazi vijavyo.
Ndio maana wanauza mpaka mbuga za wanyama na maeneo makubwa ya ardhi kwani hawafikirii juu ya vizazi vijavyo!!
Wakuu, hiyo picha anapanda treni kweli? Mie nadhani hapa alikuwa anashuka, ndio maana inaonekana hivyo. Mwili umelegea kwa sababu ya kuwa he is not working against gravity.