Wee Jambazi hujafungwa tu? Kwani ukitaka baada ya maisha ya hapa duniani mtu huenda Peponi au Jehanam ni lazima ufe kwanza? Mbona tunahubiriwa kuna maisha baada ya kifo, ina maana Wahubiri hawa walishawahi kufa kwanza na kwenda kujionea ndipo wakarudi duniani kutuhubiria waliyoyaona huko? Is this the right analogy to Dr. Mwakyembe's scenario, au ni uvivu wa kufikiria tu wa huyu mhalifu?Anaugulia maumivu.
Kwanza hakukua na sababu ya yeye kusafiri kwa treni eti kujua matatizo, labda kama anatafuta umaarufu.
Ivi ukitaka kujua mateso ya maalbino ni lazma uwe albino.