Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

99262ca110192d878e4bd44377a08000.jpg


Mtakuja kutuua bure
*dume suruali*
 
Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
6ce08f8b3de614955952e54aaeba11eb.jpg
0ef4982e60604b20a2ce931678ff23fb.jpg
Si afadhali maana huyo mwenyegauni jeupe ni saa ngp tungeona kazi ya uumbaji wake
 
Inarudi kwa kukataza kuvaa majoho au by attaining academic standards worth of a University/college education?

Ndio fikra za Watanzania wenzetu zilipofika. Graduation ceremony ni kitu cha masaa machache. Badala ya kujali kiwango na ubora wa mafunzo wanayopata tunaweka kwenye jambo ambalo hata haliongezi chochote.
 
Hamna picha ya huyo mdada mwenye nguo nyeupe aliyogeuka # Mwana Fa ( natamani Ageuke)
 
Back
Top Bottom