Mdada mwenye nguo nyeupe anaweza kuwa Fundi kweli....
dah kuna majaa wamefaudu kwa kipindi bidada yupo hapo chuo. style ya mbuzi kagoma kwenda mbona inanoga ahahah
Mdada mwenye nguo nyeupe anaweza kuwa Fundi kweli....
VP umevutiwa na ganda nini ...utakuta juice imechacha apoMdada mwenye nguo nyeupe anaweza kuwa Fundi kweli....
Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..d Duu hii ni noma sana hapo watakuwa wamenuna ile mbaya hakuna kujiselfie
HahahahahhahahahahahaMdada mwenye nguo nyeupe anaweza kuwa Fundi kweli....
Mdada mwenye nguo nyeupe anaweza kuwa Fundi kweli....
Aliyezuia majoho atakuwa na mtindio wa ubongo,embu ona mavazi hayaleti heshima yoyote,mengine hayana maadili,hakuna uniformity kabisa,kwa mavazi yasio na nidhamu kama haya,aliyeamuru anafurahi kabisa roho take inaamani,hivi huu uprofesa unatolewa he,hivi MTU wa hadhi ya uprofesa anaweza kuamuru uhuni kama huu,siwaamini maprofesa ngozi nyeusi,maprofesa ni wazungu tu?Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
kapime mimba.Mwenye nyeupe wallah amenijaza mate mdomoni kama vile nimeona ukwaju!
Uyo mdada mwenye nguo nyeupe kama namjua vile!
We fanya yakosasa kwani mmeambiwa umzungumzie huyo mdada au wanadiploma??