Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
6ce08f8b3de614955952e54aaeba11eb.jpg
0ef4982e60604b20a2ce931678ff23fb.jpg
Vijana watapata tu ajira hata wasihofu.
 
Jamani hilo zigo lenye nguo nyeupe ni shida, shukran za dhati ziende kwa mpiga picha
 
Hii picha akija iona mama Ndalichako atabadilisha msimamo wake,sasa hapo ni chuo cha ufundi Dit wapo ivyo sijui kwa vyuo vingine vya mastaduu na mabishoo ifm na cbe sipati picha nguo watakazovaa
 
Back
Top Bottom