Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Kwani kukosa kuvaa majoho Luna athari yoyote inayo tokea kwanza kujipa gharama ktk maaandalizi
 
Ni mshahara gani atapokea?
bora nimfungulie duka la spea za magari kuliko kwenda gereji
 
Ila ki ukweli raha ya mahafali ni kuvaa joho ,sasa kama hamna joho simply hakuna mahafali maana mnakuwa hamna tofauti na muuza karanga au ice cream ingekuwa ni mimi nisingeenda
 
Unawezakukuta huyo wa pembeni yake aliyevaa dira/baibui/ushungi anamfunika kwa chura. Huwa nawapimiaga sana nikiwaona na hayo mavazi na nilisha waotea kadhaa enzi hizo nikiwa bado mchezaji wa ligi daraja la kwanza
 
Unawezakukuta huyo wa pembeni yake aliyevaa dira/baibui/ushungi anamfunika kwa chura. Huwa nawapimiaga sana nikiwaona na hayo mavazi na nilisha waotea kadhaa enzi hizo nikiwa bado mchezaji wa ligi daraja la kwanza
mkuu ni kweli hawa wanaovaaaga mabaibui waga wana zigo la kuvunja hata chaga sema jinsi ya kufunguka nao ni protocal hayo mabaibui waga naona miyeyusho.ndio maana wakifika disco wanayaweka kwenye mikoba.
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Back
Top Bottom