Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Picha: Wahitimu wa diploma wakihitimu bila majoho

Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
6ce08f8b3de614955952e54aaeba11eb.jpg
0ef4982e60604b20a2ce931678ff23fb.jpg
wanatia huruma
 
Maagizo ya kimaigizo
.majoho inakua issue.mie ningevaa tu joho atafanya nn
 
Maagizo ya kimaigizo
.majoho inakua issue.mie ningevaa tu joho atafanya nn
hahaha kwel mkuu,unaamua tu.sema tatzo hata walimu au mavc wa vyuo wamekatazwa kuwaruhus so unaeza vaa afu ukavuliwa mbele ya umma kwa hii nchi yetu kawaid sana.
 
Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
6ce08f8b3de614955952e54aaeba11eb.jpg
0ef4982e60604b20a2ce931678ff23fb.jpg
Johoo not any issue, issue nikupata kile ulichokitafuta.
 
Hawa kwenye picha ni wanafunzi wa ngazi ya diploma wakitunukiwa cheti cha ngazi hiyo bila majoho kutoka chuo cha DIT..
6ce08f8b3de614955952e54aaeba11eb.jpg
0ef4982e60604b20a2ce931678ff23fb.jpg
Nyama ya Bata ni tamuu ww, ila uyo weupe mashalaah.......
 
Mbona Kuna mmoja kavaa joho jeupe 😎 au ni macho yangu hayaoni vizur!
 
Nguo nyeupe tafadhali.. tafadhali kwa mara ya pili, na ya tatu..

 
Kwani lazima Najua hapo umemuangalia Huyo dada mwenye gauni jeupe
 
Good ilikuwa hadi watoto wa chekechea wanavaa majoho roho ilikuwa ikiniuma sana maana ni madharau.
Lazima heshima iwepo...
 
Back
Top Bottom