Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Aliyekunyanyasa ni yule aliyekuwa anakusomba kwenu kwenda kukupiga mnada. Ulisikia mzungu alienda nyumba hadi nyumba kubeba watumwa? Watemi wenu, waungwana na waarabu ndo walikuwa middle men wa utumwa na hata wengine walijichukulia huko kwao na mwisho wake waliwahasi. At least wazungu waliwaacha wakazaliana ndo maana tulipata akina Michael Jackson.
Acha kupotosha watu mkuu,,una ushahidi wowote? Usiniletee vikatuni vilivyochorwa na mizungu maana ndivyo mlivyofundishwa kule primary
 
Jamani hawa watu wametunyanyasa sana,fikiria MTU anatoka kigoma mpaka bagamoyo kwa mguu.tuliteseka sana
 
Mungu aliwapa waafrica kutawala lakini hao waafrica walimkataa na kumhasi Mungu
ghadhabu ya Mungu ikawa juu ya mwafrica.
Mungu akawatapanya Kila pande na pembe ya Dunia..
mwafrica akaanza kujidharau na kujiona bado ni MTU duniiiii
Mungu anakusudi jema na mwafrica lakini ttz mwafrica ana ttz&kusudi bovu na Mungu.
ghadhabu na hasira ya MUNGU kamwe haitaondoka kwa mwafrica till atakapotubia laana yake ambayo aliibeba Karne na Karne....
Well said
 
Iko hivi , kwanza huwezi amini baadhi ya machifu ndo walikuwa madalali wa kuwakamata watu wao na kuwakabidhi kwa waarabu, ambao ndiyo walikuwa wakamataji wakubwa huku bara. Waarabu wakifika kwa machifu wanakuta mzigo tayari wanamkabidhi chifu nguo, shanga etc then wanachukua mzigo. Pale ambapo mzigo hautoshi chifu anawapa waarabu maaskari kwenda kusaidia kukamata watumwa. Hawa machifu wangekuwa kama akina Mkwawa au Mirambo mbona waarabu, ndo walikuwa maajeti wa wazungu, wasingetia mguu?? Sasa turudi kwa watawala wetu baada ya uhuru.... Kama ingetokea independent investigation ya namna viongozi hawa wameuwa na kuleta mateso makubwa kwa raia wao, ili tuu waendelee kubaki madarakani au tuu kwa sababu za kiukatili tuu (mfano mauwaji ya Rwanda ambapo mpaka vitoto vilikula risasi, au recent BBC documentary ambayo iko twitter where askari katili wanne wanawaongoza mama mwenye mtoto mgongoni na mwingine wa miaka kama sita mpaka kwenye kichaka kidogo na kuwamiminia risasi wote!!!), believe me wanaweza kukaribia waliochukuliwa utumwani.
Lete vithibitisho sio uongee kama upo FB
 
Kiukweli mwarabu ni mtu nisiempenda hata kugusana nao naonaga kama ni shombo tu siwapendi kufwa hao watu

Kuna mwarabu koko flani alikuwa anataka mzigo kufikia hatua ya kulia chozi ila dharau nilizompa ni kama mbwa koko anavyofukuzwa jalalani

Ni ya heri mzungu kuliko mwarabu shenzi zenu waarabu

Naona povu limewatoka kweli waarabu hahahahaha mbwa nyie
Sasa hata ukiwatukana unapata faida gani..kwani wao ndiyo walitesa babu zetu!! miafrika bana..kwa style hii acha magu atunyooshe tu.
 
Kiukweli mwarabu ni mtu nisiempenda hata kugusana nao naonaga kama ni shombo tu siwapendi kufwa hao watu

Kuna mwarabu koko flani alikuwa anataka mzigo kufikia hatua ya kulia chozi ila dharau nilizompa ni kama mbwa koko anavyofukuzwa jalalani

Ni ya heri mzungu kuliko mwarabu shenzi zenu waarabu

Naona povu limewatoka kweli waarabu hahahahaha mbwa nyie
Vipi toa povu
 
Iko hivi , kwanza huwezi amini baadhi ya machifu ndo walikuwa madalali wa kuwakamata watu wao na kuwakabidhi kwa waarabu, ambao ndiyo walikuwa wakamataji wakubwa huku bara. Waarabu wakifika kwa machifu wanakuta mzigo tayari wanamkabidhi chifu nguo, shanga etc then wanachukua mzigo. Pale ambapo mzigo hautoshi chifu anawapa waarabu maaskari kwenda kusaidia kukamata watumwa. Hawa machifu wangekuwa kama akina Mkwawa au Mirambo mbona waarabu, ndo walikuwa maajeti wa wazungu, wasingetia mguu?? Sasa turudi kwa watawala wetu baada ya uhuru.... Kama ingetokea independent investigation ya namna viongozi hawa wameuwa na kuleta mateso makubwa kwa raia wao, ili tuu waendelee kubaki madarakani au tuu kwa sababu za kiukatili tuu (mfano mauwaji ya Rwanda ambapo mpaka vitoto vilikula risasi, au recent BBC documentary ambayo iko twitter where askari katili wanne wanawaongoza mama mwenye mtoto mgongoni na mwingine wa miaka kama sita mpaka kwenye kichaka kidogo na kuwamiminia risasi wote!!!), believe me wanaweza kukaribia waliochukuliwa utumwani.
Mkuu hayo uliyoandika yote ni kweli,vita vya baadhi ya makabila ya kiafrika yamefanya rahisi kwaWarabu na Wazungu kuwachukuwa Waafrika kama Watumwa,...Lakini unyama aliofaya Mzungu hakuna mfano wake,hakuna binadamu yeyeto yule duniani anaweza kuwafikia hawa watu..

Kuhusu Rwanda unafikri nani kachochea Wahutu na Watutsi kuuwana kama wanyama!?Unafikri kwanini Kagame kajitoa kwenye Francofone(nchi zilizotawaliwana Mfaransa)!??Mzungu huwezi kumfananisha na binadamu yeyeto kwa Ukatili,Mpaka hiii leo nchi ya Marekani watu weusi wanasakwa na kuuliwa na Polisi kama Mbwa..

Mzungu kawawekea watu weusi picha ya Isa(Yesu) yenye mfano wa wao,ili ukiamka ukimkumbuka Mungu unaona picha ya Yesu aliefanana na Mzungu mbele yako.......Isa(Yesu) alikuwa Myahudi sijui imekuwaje kuwaje Picha ya Yesu ikawa ya Mtu aliefanana na Mzungu,Tafakari
 
Mwafrika amemfanyia mwafrika mabaya zaidi kuliko wazungu walivyofanya. Rwanda ndani ya siku 100 watu laki nane waliuawa na kubakwa. Congo mpaka kesho. Uganda ya Amin. Chad. Liberia hayo tunayafumbia macho. Bado huku kuna watu wasiojulukana yaani mtanzania anamuua mtanzania. Juzi tu Museveni alikua anamtesa mtu kwa kumvuta uume.
Umesahau serikali hii ya CCM waziri wake alipoulizwa kuhusu maiti za watu kuokotwa kwenye viroba walijibu kuwa ni wahamiaji haramu kana kwamba hao wahamiaji haramu ndiyo wanatakiwa kuuwawa na kuwekwa kwenye viroba wakati nao ni binadamu kama wao tena Waafrica wenzao
 
Hawa si ndio walituletea uislam tunaoushabikia leo ama sio?
Mkuu dini ya Kikristo ina hata "saint" ambae ni mweusi? Dini ya kislam wanae Saint mweusi anaitwa Bilal alikuwa anatokea nchi ya Abyssinian(Ethiopia) alikuwa Mtumwa alipata uhuru wake kwa kununuliwa na Mtume Mohamad,Bilal ndie mtu wa kwanza Kuadhini,Bilal nimtu wa kwanza kubashiriwa pepo..

Dini ya kiislamu katika kitabu cha Kuran Mingu anaeleza kuwa binaadamu wa mwanzo aliemumba alikuwa mtu mweusi,surail Hijiri ambayo ni sura ya

15 :26 "And We did certainly create man out of clay from an altered black mud." ...kwa kiswahili "Kwa hakika tumemuumba binadamu kwa udongo mweusi wa ufinyazi"

Je katika dini yako mnae sahaba(Saint) mweusi,Mungu wenu ni mweupe,pisha zake zimejaa makanisani,Je dini yako inaeleza vipi binadamu kaumbwa,!??

Mkuu sio zamani sana makanisa yalikuwa yanatengwa kwa mtu mweusi na mweupe tafauti.,,chakushangaza watu wote wakristo wanaabudu Mungu mmoja lakini makanisa tafauti,makanisa yanabaguliwa kutokana na rangi ya ngozi, kitu kama hicho hakijawahi kutokea katika dini ya kiislam..

Mkuu unajua kwa Jina la Yesu,dini ya kikiristo imefanya nini katika nchi za Amerika kusini hasa Peru,soma historia ya dini yako utaona unyama waliowafanyia binadamu....
 
Kaka hao uliowaonyesha sio waarabu ni wazungu, inaonekana una shida na waarabu. Asilimia 97 ya biashara ya utumwa wa kutisha ilifanywa na wazungu kwenye bahari ya Atlantic kwenda ulaya na marekani kutoka AFRIKA MAGHARIBi, hasa Senegal, Ghana, Cameroon, Burkina Faso, nk ambako yalikuwa yanapatikana majitu makubwa na yenye nguvu. Hapa East Afrika waarabu walifanya utumwa pia lakini watumwa wengi haliishia kwenye Asia kufanya kazi za nyumbani.

Unyama uliofanywa na waarabu ni kuwahasi (castrate) wanaume wote waliokwenda Asia ili wasizaane huko.
 
Back
Top Bottom