Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Hivi haya majamaa yalikuwa yamerogwa na nani mijitu ina nguvu halafu imefungiwa kama kondoo? Naona kama kulikuwa na tatizo vichwani mwao
Unakijua chuma cha moto wewe?
Sema wengine walisalitiwa na waafrika wenzao.
 
Hivi haya majamaa yalikuwa yamerogwa na nani mijitu ina nguvu halafu imefungiwa kama kondoo? Naona kama kulikuwa na tatizo vichwani mwao

Ngoja mshindwe mlipa mchina madola yake, aje kuichukua kigamboni na watu wake ndio utajua ilikuwaje mkuu
 
Mkuu usioneshe hisia za chuki baina yetu,Utakuja kuchukia hii kauli unayoisema kwani sio kauli nzur hta kidogo japokua mabibi zetu walitokea huko na kuolewa na mababu zetu na walikua weusi.
Je mababu zetu pia walibakwa?
Achana naye huyo, kwanza hana staha hapo alipo ukimuuliza nchi ipi ya Uarabuni aliyowahi tembea hamna hata moja atakalokujibu.

Awasome wazungu na magonjwa ya kibailojia wanayoyafanya mpaka sasa hivi kwa Afrika na Latino.
 
Mtoa maada naona karogwa picha na maelezo tofaut, hawa ni wazungu mnaowaona leo wana maana hutoweza kuona picha ya mwarab akintesa mwafrika labda iwe imechorwa na sio uhalisia
 
Hakuna picha ya mwarabu hata moja,tatizo waarab mnawaona simple sana maana kila kitu kibaya cha waarabu,hata kila tigo ni waarabu kwani wazungu wao ni malaika?
 
ndiyo maana Idd Amin Alibebwa na wazungu ili kujibu mapigo
 
Back
Top Bottom