Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

Picha: Waarabu walichofanyia babu zetu

YAN WAAFRIKA SIJUI NANI ALITULAANI.WATU WANAKUJA NA JAHAZI WANATEKA WATU NA KUONDOKA NAO.
Tena wao walikuwa wachache kabisa,hivi mababu zetu walishindwa nini kuungana na kuwauwa wote hao???
Mbona Leo watu wanakuja wachache na wanaondok na dhahabu na Kila aina aina ya utajiri hushangai? Jiandae kujibu swali hili kutoka kwa vitukuu vyako.
 
Wazungu wamewatesa sana Watu weusi wa Africa,Warabu wafika mwanzo Katika bara Afrika kabla Wazungu,Ukienda nchi za Afrika Magharibi sehemu nyingi watu wake ni Waislam dini iliyopelekwa na Warabu,cha kushangaza nchi hizo hazikutawaliwa na Warabu,Kama umeangalia movie ya "Kunta Kinte" watumwa wote walikotoka Afrika Magharibi kwenda Marekani na Caribbean walikuwa waislam

Nchi ya "Musa Bin Baik" (Mozambique) nchi hii watu wake walikuwa waislam dini iliyopelekwa na Warabu,Mreno alipigana na Warabu nchi akaichukua yeye,kwa vile Wareno walikuwa hawezi kutamka jina la "Musa Bin Baik" wakawa wanasema Mozambigue

Nchi alizokwenda Mwarabu wakati huo hakwenda kwa Kutawala,wao walikwenda kutangaza dini na kufanya Biashara,na ndio maana utakuta nchi nyingi zenye waislamu wengi hazikutawaliwa na mwarabu,tafauti na Wazungu,hawa watu walitawala nchi,waliwafanya wenyeji wa nchi hizo watumwa,waliwauwa wenyeji ,na nchi kuzifanya zao..

Marekani,Canada,Autralia nk,,Wenyeji wa nchi hizi wameuliwa na Wazungu,kuna makabila yametokomezwa kabisa hayako tena duniani,katika hizi nchi

Katika Uislam kuna sahaba(saint) anaitwa Bilal,Bilal alikuwa mtumwa,mtu mweusi kutoka Ethiopia,alinunuliwa na Mtume akawa huru,ni mtu wa mwanzo kuadhini kuwaita waislam kusali,ni mtu wa mwanzo Mtume kumbashiria Pepo...

Ilikuwa tabu kwa warabu kuwafanyia unyama watu weusi kwasababu ya imani yao ya kidini,bila shaka kuna warabu wamewafanyia unyama watu weusi lakini huwezi kufanananisha na Wazungu
Mkuu, mleta uzi huwenda anachuki zake tu..maelezo yake hayaendani na picha alizopost. Ningeshauri hii mada mods waifute kabisa halafu wewe mkuu uanzishe, upo vizuri sana na ni mkweli. Ahsante[emoji120][emoji120][emoji120]
 
YAN WAAFRIKA SIJUI NANI ALITULAANI.WATU WANAKUJA NA JAHAZI WANATEKA WATU NA KUONDOKA NAO.
Tena wao walikuwa wachache kabisa,hivi mababu zetu walishindwa nini kuungana na kuwauwa wote hao???
Kwani sahv wanashindwaje, mkoloni bado yupo vichwani kwetu, bado watu wanawasikiliza na kuwaheshimu mawazo ya wazungu,
 
Mleta mada naona umekurupuka tu aidha kwa kutokujua au kwa kua na chuki binafsi tu
Sijui una umri gani aisee!
Heading yako na picha ulizoweka haviendani kabisaa!
Huoni kua umeweka picha za wazungu?!
Huyo dada atakuwa na kaubaguzi flani ivi,,chuki imemkaa kwenye damu.. heading na pictures haziendani kabisa. Nashauri mods waiondoe hii mada..otherwise tutakiwasha humu ndani tupigwe ban
 
Mkuu unajua waafrika millioni ngapi walivuka bahari ya Atlatic wakiwa wamewekwa kwenye majahazi kwaa kupelekwa marakana kama watumwa?Watumwa millioni 10,walipelekwa Marekani peke yake,watumwa milioni moja na nusu walikufa na kutupwa baharini

Ni sawa na kuwachukuwa watu wote wa Zanzibar kuwauwa na kuwatupa baharini,Unyama wa Wazungu hamna anaeufikia
Kuna Mitanzania huwa ni mijinga sana,unyama alioufanya mzungu na anaoendelea kuufanya mpaka sasa Mwarabu hajaufikia hata robo
 
Back
Top Bottom