Hapa unasemaje Mkuu?haya magazeti ni aibu tupu
Reactions:: |
Hapa unasemaje Mkuu?
Mjumbe Kutoka Unguja:" Mwenyekiti, Hali Si Shwari"
Hiyo Unguja,eti hali imetulia,jana usiku wamevamia moja ya makanisa yetu Katoliki na kupiga moto ambao haukuleta madhara sana,pia mchana walichoma nyumba yetu moja na kuvunja uzio huko Welezo,juzi walichoma kanisa katoliki kigango cha Mtoni-Manfred
Reactions::
Kimsingi tuko pamoja, kwamba isingekuwa rahisi jamaa ana hasira za kukamatwa kiongozi wake halafu ukamchukua picha tena usoni, so picha za juzi kama zipo, basi ni zile zilizopigwa huku cameraman akiwa kwa mbali kuepuka shari ya MUAMSHO mwenye hasira za kiitikadi kaliARIFU huelewi kwanini? picha iliowekwa sio ya tukio husika.....ni ya tukio lingine kabisa.......
Sema ni gazeti lipi, na ikiwezekana weka hiyo picha hapa. Hebu uwe wazi, sio na wewe unakuja na mambo yako ambayo hayajakamilika. Unakuwa bado unafanana na hao unaowashutumu.
Aliyeshika hicho kitambaa cha damu mbona hajavaa gloves; haogopi kuambukizwa virus?
Sema ni gazeti lipi, na ikiwezekana weka hiyo picha hapa. Hebu uwe wazi, sio na wewe unakuja na mambo yako ambayo hayajakamilika. Unakuwa bado unafanana na hao unaowashutumu.