like or not, media or not, propaganda or not UKWELI unabakia kuwa kilichofanyika zanzibar under umbrella ya UAMSHO inajenga ufa kubwa ya UBAGUZI na DINI! Hakukuwepo na sababu yeyote ya kuchoma makanisa or else wangechoma na misikiti pia. This is religious fundamentalism and muungano question is just a disguise. The question is who behind or financing this? Je nchi yetu iko salama?
Picha halisi ingetoka wapi; hivi unaweza kumpiga picha mwizi tena usoni akakuangangalia tu?
Nani asiyejua Wazenje ni hamnazo , walalamishi kama nini , mtu mvivu hakosi kulalama, Watalalamikia wakoloni kwa ubaguzi wa elimu , sasa ni miaka 50 mashule wamejenga lakini angalia matokeo , lakini wajanja wanapeleka watoto wao misheni ambapo kuna nidhamu , SASA wanalalamikia wabara siku tutavurugana na kusambaratishana ndio wataiona freshi
ARIFU huelewi kwanini? picha iliowekwa sio ya tukio husika.....ni ya tukio lingine kabisa.......
huo ndo uchochezi mkubwa kwa wananchi kupitia vyombo vya habari.
Mkuu kwanza nashukuru sana kwa kunipaisha maana sikujuwa kwamba nimeshakuwa A BIG THREAT kwa CCM hapa JF, inaonekana sasakinaeleweka.Siku hizi haya magazeti nayaona kama porojo za wakina Mnyisazu, Matola na Molemo wa JF! Unategemea nini kutoka kwao! Wamejawa na ushabiki wa kidini badala ya 'professionalism' !
Mimi sijasema VVU. Kwani kila virus ni VVU?
Tanzania Daima huwa naliweka kundi moja na magazeti pendwa ya udaku Uwazi, Kiu.
Nawashauri hao wanaojuwa kulaan waanze kulaani upumbavu huu kwanza halafu ndio nitaelewa kweli wanasimama kwenye misingi ya haki.
Yaliyojiri Zanzibar
Maelfu wa wazanzibari wakiongozwa na Taasisi za Kiislamu na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakifanya matembezi ya amani katika barabara za Zanzibar na kupeleka ujumbe wao kwa viongozi wa serikali za Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Umoja wa Mataifa wakitaka Zanzibar huru ambapo baadhi ya watembeaji hao wakiongoza na Kiongozi wa Jumuiya hizo, Sheikh Farid Hadi Ahmed na viongozi wengine
wewe nawe akili kama william malecela......unajua umeandika nini bongolala wewe? yaani wabongo bana???
kama mwandishi basi wewe hamnazo kabisa.....hiyo picha sio ya tukio lile bwegge wewe.....na mhariri wako bwegge vile vile....fanyeni utafiti mabwegge nyie......watu mtaani sasa hivi wajua hiyo picha ni ya vurugu za zanzibar wakati sio mabwegge nyie......
Kwa hiyo unataka kuwafundisha waandishi.