Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,417
- 1,645
Muujiza unaimarisha imani kukua.
Mungu aliyemuokoa anajua ni nini Lisu anachokifanya na kwa wakati upi atuwezi kumpangia cha kufanya,Mungu anakusudi naye.Napendekeza baada ya muujiza huu wa uponywaji Lissu aachane kabisa na siasa badala yake aielekee Injili iliyo kweli na hakika, amen!