When Jesus say yes no one can say noMungu akiwa upande wako ni nani atakayekudhuru? Asante mungu kwa kuokoa maisha ya lissu maana taifa linamhitaji.
When Jesus say yes no one can say noMungu akiwa upande wako ni nani atakayekudhuru? Asante mungu kwa kuokoa maisha ya lissu maana taifa linamhitaji.
Natamani wewe uchukue nafasi yake pale Chadema badala ya kujificha hapa Jf.Injili ni silaha ya mapambano. Siyo lengo kuu. Kwa hiyo hawezi kuacha sasa ambayo ndiyo mapambano yenyewe.
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa TLS, Mhe Tundu Lisu akiwa nchini Ubelgiji anapoendelea na matibabu na mazoezi ya kuimarisha viungo, huku akiwa ameweza kutembea mwenyewe kwa kutumia gongo na hali yake kuzidi kuimarika zaidi.
View attachment 679527
Bangi za kujifungia ndani na WINTER hii si nzuri.Haijatoka moyoni hiyooo
Bwana yupi mkuu??
Tulia wewee Ngoja harudi muanikwe
Hapa anazungumziwa Lisu,anzisha Uzi wa dereva kama unauhitaji wa habari zakeDereva alishapona?
Huu mchezo mmecheza vibaya akili za mangamuzi watu wanazo
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa TLS, Mhe Tundu Lisu akiwa nchini Ubelgiji anapoendelea na matibabu na mazoezi ya kuimarisha viungo, huku akiwa ameweza kutembea mwenyewe kwa kutumia gongo na hali yake kuzidi kuimarika zaidi.
View attachment 679527
....Shetani yuko upande wa bwana yule !!Mungu akiwa upande wako ni nani atakayekudhuru? Asante mungu kwa kuokoa maisha ya lissu maana taifa linamhitaji.
Ameponywa ili aendelee kutetea watu wa taifa lake, injili inakufaa wewe ukawahubirie wavaa hirizi waache bali wamvae roho mtakatifu.Napendekeza baada ya muujiza huu wa uponywaji Lissu aachane kabisa na siasa badala yake aielekee Injili iliyo kweli na hakika, amen!
Nyie wa migombani muhurumieni Lisu jamani, kwani hapo Ufipa hakuna bwashee wakili msomi mumtwishe hizo harakati!Ameponywa ili aendelee kutetea watu wa taifa lake, injili inakufaa wewe ukawahubirie wavaa hirizi waache bali wamvae roho mtakatifu.