swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Siku ukipata akili na kujitambua ndio itakuwa siku yenyewe
Ndio maana hawa jamaa walikamatwa. Shetani hajawahi mshinda Mungu.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Hii habari ishachafua hali ya hewa ya Lumumba
Naona serikali na nguvu zake zote imeshindwa kumzuia MUNGU KUMPONYA TUNDU LISU. ATUKUZWE MUNGU JUU MBINGUNIKwani zile tetesi ataonana na viongozi waandamizi wa ulaya zimeishia wapi??
Kuanikwa gani tena mkuu, mbona anayoyasema ni yale yale mkuu, hamna jipya.Na isitoshe Lissu ni Mtanzania kama anataka support aitafute kwa Watanzania wenzie, hao wa ulaya si siku zote wanaangalia maslahi yao kwetu.Tulia wewee Ngoja harudi muanikwe
Mke wake ambaye ni mshauri wake wa karibu alimwambia akiacha siasa asimuite tena mke wake, sijui wewe unapendekeza kama nani.Napendekeza baada ya muujiza huu wa uponywaji Lissu aachane kabisa na siasa badala yake aielekee Injili iliyo kweli na hakika, amen!
Kwani zile tetesi ataonana na viongozi waandamizi wa ulaya zimeishia wapi??
Mzuieni MUNGU ASIMPONYE. Mungu wa ajabu sana.mmepiga risasi yeye anaponya hiyo ni ishara tosha Mungu anakataa UPUMBAVU WENU
Huko si pia wanafuatwa na TRActor?Napendekeza baada ya muujiza huu wa uponywaji Lissu aachane kabisa na siasa badala yake aielekee Injili iliyo kweli na hakika, amen!
Muulize musiba ni lini atampeleka lissu mahakamani kwa kuichafua nchiKwani zile tetesi ataonana na viongozi waandamizi wa ulaya zimeishia wapi??
Trilioni 300 zimesha lipwa??hahahah wewe bila shaka utakuwa na tatizo kichwani yani unatwambia ameweza kutembea mwenyewe halafu papo hapo unasema ametumia magongo......
Kwani ukisema ametembea kwa kusaidiwa na magongo kuna shida gani?
Huwa mkileta habari za Lissu mnaleta na chumvi nyingi.....sasa picha gni hapo inaonesha ana tembea...?
Kikao chake na viongozi wa ulaya ni lini?
Mmemwambia kuwa kamati kuu imewaonya yeye na wenzie kwa kumsema mwenye chama Lowasa?
HahahahaKwani zile tetesi ataonana na viongozi waandamizi wa ulaya zimeishia wapi??
Kweli JF ni habari ya mjini.Kwani post lazima uielewe?